Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wananchi nawapenda hawana kelele nyingi kama wazee wa pori, Tangu Jana jioni mitandao iko kimya, mambo shwari kabisa. TUNAWASHUKURU KWA KUTUFUNGIA MIDOMO HAWA MIKIA.
Hali ya utulivu ni nzuri kabisa huku Mkundi, Morogoro. Kuna mashabiki wa manunu waliondoka jana asubuhi kwa mbwembwe sana hapa mtaani na vibaby walker vyao. Wamerudi kimyakimwa leo alfajiri, kweli kipigo kizito kile.
 
Mzee ana watu...sio akina Manara kele kele tu wakiona camera,kuwa na watu bwana ushinde big match[emoji23]View attachment 1839796
Mzee ana watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],yule mzee ananikosha sana
Amefanya derby kuwa tamu zaidi,amechagiza sana,pale mwanzoni alikuaga anasema "Hatucheji-hatucheji".
 
Hivi huyu kibendera mulimwelewa kweli?
Your browser is not able to display this video.

Mbona ni kama anataka akafunge yeye. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…