Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Only Chelsea ndio kwenye damu. Hawa wengine sijui Simba mara Yanga ni matakataka tu kama Ase8
Yani wewe kila uzi ni kulalamika tu, utaacha lini hii tabia mana unazidi kukonda tu kwa kulalamika lalamika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yanga SC imetozwa faini ya TZS milioni 3.85 kwa makosa mbalimbali katika mchezo dhidi ya Simba SC, ikiwemo kuingia Uwanja wa Mkapa kwa kutumia geti la Uwanja wa Uhuru, kubadilishia nguo kwenye chumba cha wafanya usafi, pamoja na kuvunjwa kwa mageti wakati wakiingia uwanjani. https://t.co/5k3G6tC77S
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…