Nimeambiwa huyu mtaalam Mayele Fiston toka AS Vita kashatua bongo kukamilisha kila kitu!View attachment 1875375
Ishi kwa mazoea tu hivyo hivyo. Ila naiona muvi hatari pale Said atapocheza nyuma ya Herritier na Fiston MayeleMtambo wa magoli huu?
Kama fistoni abdulrazak
Tuonane msimu ujao
Itakuwa raha sana mana hawa jamaa wakiungana na Said + Feisal itakuwa shuguli ya kucheka tu!nimesikia na makambo pia anatua
said ukimaanisha saido??Itakuwa raha sana mana hawa jamaa wakiungana na Said + Feisal itakuwa shuguli ya kucheka tu!
Ishi kwa mazoea tu hivyo hivyo. Ila naiona muvi hatari pale Said atapocheza nyuma ya Herritier na Fiston Mayele
Binafsi sijui kwanini sifurahishwi na usajili wa makambo kama utakuwa ni kweli. Sijui kwanini ila nahisi kama hatofanya vile washabiki wa Yanga watakavyotaraji toka kwakeIshi kwa mazoea tu hivyo hivyo. Ila naiona muvi hatari pale Said atapocheza nyuma ya Herritier na Fiston Mayele
Ndiosaid ukimaanisha saido??
Daaa! Mimi ninaimani nae japo muda ndio msema kweli!Binafsi sijui kwanini sifurahishwi na usajili wa makambo kama utakuwa ni kweli. Sijui kwanini ila nahisi kama hatofanya vile washabiki wa Yanga watakavyotaraji toka kwake
kaondokaNdio
Sijaona taarifa rasmi ya klabu japo nasikia hivyo nikajua ni tetesi tu. Ingekuwa vema angekuwepo mana ana maarifa mengi japo kama kaondoka si mbaya pia mana huenda wamezingatia Hall yake ya majeruhi. Kama kaondoka na kutoa hiyo kauli inayosemwa kusemwa na yeye basi nae ni Wa kienyeji tu!kaondoka
π π kwa age imeenda sana ndio maana akiumia anachelewa kuponaSijaona taarifa rasmi ya klabu japo nasikia hivyo nikajua ni tetesi tu. Ingekuwa vema angekuwepo mana ana maarifa mengi japo kama kaondoka si mbaya pia mana huenda wamezingatia Hall yake ya majeruhi. Kama kaondoka na kutoa hiyo kauli inayosemwa kusemwa na yeye basi nae ni Wa kienyeji tu!
Sahihi![emoji28][emoji28] kwa age imeenda sana ndio maana akiumia anachelewa kupona
Hahahaaaa. Alikuwa analilia ugali wake.Huyo Haji ndio alilia hadi Na Mimi nikatoa machozi!
πππHiyo kauli ukiisikia sahizi Mimi nakuwa chizi kama Morrison!
Uwiii!! Hadi nishasahau Mwenzio. Teh. πPole sana mamii
Mie pia nazifuatilia japo napata tena mashaka timu yetu kufanya vizuri next season hasa baada ya kusikia kwamba tunapukusa tena kikosi na kuanza usajili upya.Jamani updates za usajili mlizosikia uko?
Anaumwa huyo. Namna tulivyomsaidia eti leo hii analeta dharau. LolTunamtakia safari ya kienyeji!
mmh kidogo sasa hivi hatuanzi upya kabisa kama last season watu wapo wakuanziaMie pia nazifuatilia japo napata tena mashaka timu yetu kufanya vizuri next season hasa baada ya kusikia kwamba tunapukusa tena kikosi na kuanza usajili upya.
Hivi hapa uongozi uko sawa kweli jamani?nimesikia na makambo pia anatua