Yah!! Naisubiri kwa hamu nione hao wachezaji wapya waliosemwa na Bumbuli ni akina nani?all in all tunagame leo??
usihau kutuwekea kikosi cha leoNadhani aka kaugonjwa kataisha Timu ya Wananchi ikija kufanya hayo mabadiliko.
Japo hii kauli ya kwamba wakipata wazuri wanaishia kwenda Simba ndo kusema GSM ni Mamluki ama?
Kabisa aisee,ni kama Boxerdaah balama aise ata akirudi atakuwa sie kakaa sana nje ya uwanja itakuwa kama mtoto ndio anaanza kujifunza mpira
Hizi habari za misumari tumuulizage Yikpe eti? 😀😀😀😀Hivi kweli Balama Mapinduzi ndio tushampoteza kiasi hicho? Yaani pamoja na kwenda sauzi lakininwapi! Hapo ndio tunapoanza kuamini hii inayoitwa Misumari!
Kwa Leo sioni jipya sana mana wachezaji waliotajwa awali kushiriki haya mashindano ni wale wale tulionao isipokuwa kuna wachezaji kama saba hivi Wa kutoka kikosi B na golikipa toka Burundi. Na sijui kama Fiston Mayele atakuwa sehemu ya kikosi hichoYah!! Naisubiri kwa hamu nione hao wachezaji wapya waliosemwa na Bumbuli ni akina nani?
Halafu aliyemuumiza nae kaumia na kakaa kwa muda Wa kutosha sijui ni matibabu gani wachezaji wetu wanapatiwa "Mustafa Yassin"Hizi habari za misumari tumuulizage Yikpe eti? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Japo kwa upande wangu huwa naona Mapinduzi aliumia sana lakini matibabu aliyoyapata hayakuwa serious ya kumfanya apone kwa haraka.
hivi yassin kumbe alimuumizaHalafu aliyemuumiza nae kaumia na kakaa kwa muda Wa kutosha sijui ni matibabu gani wachezaji wetu wanapatiwa "Mustafa Yassin"
Poa poa.usihau kutuwekea kikosi cha leo
Kama atakuwa ni makambo yule yule aliyeondoka Yanga na moto basi msimu ujao si mchezoDaaa! Mimi ninaimani nae japo muda ndio msema kweli!
Ooh. Basi nalipohojiwa nilivyomuona anajibu kwa mashamsham nikajua wapo wapya wengi. Duuh.Kwa Leo sioni jipya sana mana wachezaji waliotajwa awali kushiriki haya mashindano ni wale wale tulionao isipokuwa kuna wachezaji kama saba hivi Wa kutoka kikosi B na golikipa toka Burundi. Na sijui kama Fiston Mayele atakuwa sehemu ya kikosi hicho
Inashangaza sana ujue.Halafu aliyemuumiza nae kaumia na kakaa kwa muda Wa kutosha sijui ni matibabu gani wachezaji wetu wanapatiwa "Mustafa Yassin"
Angekuwa yule Mkuu asingesugua benchi huko Horoya.Kama atakuwa ni makambo yule yule aliyeondoka Yanga na moto basi msimu ujao si mchezo
Hao wazuri walokuja wakaishia Simba ni kina nani ukiondoa chizi Morrison? Hawa kina Mukoko na Kisinda si wazuri!Hawana uwezo wa kuleta wachezaji wazuri. Na hata wakipata wazuri, hao wazuri huishia kwa Simba. Kuna sintofahamu nyingi kuhusu usajili
Ngoja tusikizie yaweza kuwa ni sapraizi japo sidhaniOoh. Basi nalipohojiwa nilivyomuona anajibu kwa mashamsham nikajua wapo wapya wengi. Duuh.
Daaa acha tu!Inashangaza sana ujue.
Itakuwa ni matibabu haya haya ya diclopar na paracetamol. Teh.
Haiwezekani watu hawaponi na siku zinasonga tu mana kwa ukimya huu hata recovery yao itakuwa ya pole pole sana.
Mbona mlivyokua kamil dk zote 45 hamkupata hilo goli nyieUtadhania hajawahi cheza Derby. [emoji854]
Nina hakika tusingekuwa pungufu hata hilo goli moja msingelipata.
Sijui niende nikawachawie tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjitahd mlete watu , manake nafasi yenu ya pili iko matatani, Azam anafanya mambo hukoHao wazuri walokuja wakaishia Simba ni kina nani ukiondoa chizi Morrison? Hawa kina Mukoko na Kisinda si wazuri!
Na hili ndilo linalonipa wasi wasi sanaAngekuwa yule Mkuu asingesugua benchi huko Horoya.
Mkuu umesahau kuwa yule Luis Miquissone na laly Bwalya iilipaswa kiwa ni mali ya Yanga lakini Yanga ikafanyiwa umafia na SimbaHao wazuri walokuja wakaishia Simba ni kina nani ukiondoa chizi Morrison? Hawa kina Mukoko na Kisinda si wazuri!