Octa_dre96
Senior Member
- Feb 7, 2019
- 105
- 157
Utooooooo FC πππ
Binamu naona imekuwa rasmi.Makambo
ππLigi si ianze tu
Mtani nakuona uko kwenye furaha ya kiwango chake [emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]
yaan acha tu tunasubiri tuone uwanjaniBinamu naona imekuwa rasmi.
Uwiii nilishashindwa kwa kweli mie bora nishabikie jiwe ππ. LolNakusubiri Msimbazi ukiwa tayari nifahamishe nikupatie kadi yako. Hufanani na watu wa utopolo.
πππ
ππ Huwa tunazipokea hizi kejeli zenu Mtani sema msije shangaa ndo tunanenepa mazzima.Mtani nakuona uko kwenye furaha ya kiwango chake [emoji1][emoji1][emoji1]
Ndiyo wakati wenu huu wakufurahi mnenepe nenepe kabla ligi haijaanza.
Hakika.yaan acha tu tunasubiri tuone uwanjani
Mwisho wenu wa kunenepa ngao ya hisani mtani.[emoji3][emoji3] Huwa tunazipokea hizi kejeli zenu Mtani sema msije shangaa ndo tunanenepa mazzima.
Uwiii nilishashindwa kwa kweli mie bora nishabikie jiwe ππ. Lol
"DaimaMbeleNyumaMwiko"
Nikwambie tu Mtani haiwezi kuwa hivyo kila siku.Mwisho wenu wa kunenepa ngao ya hisani mtani.
Sasa hivi endeleeni kuenjoy mnenepe kidogo
Mimi walivyomsajili Makambo tu nimewatoa credit viongozi. Ni wazi usajili unafanyika sio kwa kufuata ripoti ya benchi la ufundi. Kwasababu Nabii hawezi kuwa kafanya scout kwa makambo na ashawishike wakati hakuonesha kiwango chochote kile ni sawa sawa na kwa Ajib Nabi hakumuona aking'ara hivyo hawezi kupendekeza asajili. Huo ni usajili wa viongozi kwa kukariri misimi ya nyuma ilipita kuwa waling'aa wakiwa Yanga basi watang'aa tenaKama AJIB Atarudi Tena yanga walah timu yangu nitaidharau milele daima
Kwa hiki nilichokutana nacho hapa kariakoo n dhahir Ajib anasajiliwa yanga
...ubingwa tutausikia kwenye bomba Kama hili litatokea.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app