Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

WAZIRI JUNIOR atupishe TU kwakweli mchezaji gan hata HABADILIKI anacheza kizamani

Ilibid mashindano Kama haya ya CECAFA aonyeshe uwezo ilikutuprove wrong

NI MCHEZAJI WA TIMU NDOGO

Pia kocha wa makipa abaki kuwa wamakipa TU tupate kocha msaidiz atakayesaidiana na NABY

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Timu imeonyesha uwezo mdogo kimchezo
 
Inasikitisha sana aisee.

Tunachofanyaga ni kama kupiga ramli.
 
Kabla ya fainali kule Kigoma nilimuona Mzee Mpili you tube akisema ameenda ofisini kwa Eng. Hersi akamkuta huko Ajib,nikacheka mana alikuwa anachekesha ila nikawaza kwamba Hersi huenda analazimisha usajili Wa Ajib kitu ambacho si sawa kabisa. Hiyo clip nadhani ipo ukiingia you tube ukiandika Mzee Mpili amfuma Ajibu kwa Eng. Hersi utaiona
 
Duuh!! Huyu Hersi huyu πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…