Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Uongozi wa klabu ya Young Africans SC jana umemtambulisha rasmi Kocha Msaidizi Cedric Kaze.

Kaze anakwenda kushirikiana na Kocha wetu Mkuu Nabi.πŸ’ͺ🏾

Karibu tena Jangwani, Karibu timu ya Wananchi.

#DaimaMbeleNyumaMwiko
#Sisitunawatu.
 

Uongozi wa klabu ya Young Africans SC jana tumemtambulisha rasmi Mkurugenzi wa Maendeleo Soka la Vijana Mwinyi Zahera.

Karibu tena Jangwani, Karibu timu ya Wananchi.

#DaimaMbeleNyumaMwiko
#Sisitunawatu.
 
Jesus na Farid hapo ni kosa Hawa jaa wasingeanza .... Yusuf ni mzuri sana na makambo ameanzaje benchi hii mechi si ya kuangalia
 
Jesus na Farid hapo ni kosa Hawa jaa wasingeanza .... Yusuf ni mzuri sana na makambo ameanzaje benchi hii mechi si ya kuangalia
Kocha upangaji wa kikosi kuna mshinda. Amechemka kwenye mechi mbili za klabu bingwa na leo tena anafanya kosa hilo hilo la upangaji wa kikosi
 
Mnachezea kimoja kipindi cha kwanza na cha piling tunamaliza moja hili wekeni akilini Maine sema sijawaambia maana majanga kwangu mwenye Jicho kaniambai simba 2 uto 0 yai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jesus na Farid hapo ni kosa Hawa jaa wasingeanza .... Yusuf ni mzuri sana na makambo ameanzaje benchi hii mechi si ya kuangalia
Tusubiri tuone Mkuu huenda ana mipango yake.

Japo ingependeza kama Makambo angeanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…