Timu mbovu zaidi zilishatoka hatua ya awali, mbovu kiasi zitatolewa hatua hii.Mmh!! Timu inazaidi ya miezi 18 haijashiriki mashindano yeyote hiyo pia mnajitapa nayo. Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu mbovu zaidi zilishatoka hatua ya awali, mbovu kiasi zitatolewa hatua hii.Mmh!! Timu inazaidi ya miezi 18 haijashiriki mashindano yeyote hiyo pia mnajitapa nayo. Lol
Oooh!! Kumbe.Timu mbovu zaidi zilishatoka hatua ya awali, mbovu kiasi zitatolewa hatua hii.
Ni takwimu tu.Anaetoka mapema ni mbovu zaidi.Oooh!! Kumbe.
Wasiposhiriki hua wanasahau kucheza mpira sio?Mmh!! Timu inazaidi ya miezi 18 haijashiriki mashindano yeyote hiyo pia mnajitapa nayo. Lol
Utopolo hamuoni aibu jamani! KhaaaMmh!! Timu inazaidi ya miezi 18 haijashiriki mashindano yeyote hiyo pia mnajitapa nayo. Lol
Hata wangekaa miaka 9 bila kushiriki mashindano yoyote sisi haituhusu hiyo, kwani Simba ndio waliwaambia wasicheze hiyo miezi 18???? Halafu round hii timu kibonde hakuna timu mbovu zilitolewa round ya awali ikiwemo ile iliyotolewa na RIVERS UNITED kwa Aibu.Mmh!! Timu inazaidi ya miezi 18 haijashiriki mashindano yeyote hiyo pia mnajitapa nayo. Lol
Sio ooooh!!!!! Kumbe ,ndio ukweli huo Timu vibonde walitolewa round ya kwanza kwa vipigo Heavyweight vya nyumbani na ugenini.Oooh!! Kumbe.
Maneno kuntuHata wangekaa miaka 9 bila kushiriki mashindano yoyote sisi haituhusu hiyo, kwani Simba ndio waliwaambia wasicheze hiyo miezi 18???? Halafu round hii timu kibonde hakuna timu mbovu zilitolewa round ya awali ikiwemo ile iliyotolewa na RIVERS UNITED kwa Aibu.
Hakika Mkuu. Inabidi tugangamale ili tuzidi kuenda vyema.Hii mechi Ni muhimu Sana twende kileleni
Ft. 0-2Ft 1-1
Una lingine. 😂😂😂Ft 1-1