Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
🙏Hongera sana bidada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏Hongera sana bidada
djiguii mmoja ni sawa na manula wawiliHuyu kipa ni bbbaallaaaa. 😂😂😂😂
#Kamahutakibasi.
ni kweli ila kwenye soka ni kawaida mkishinda mnarelax hamuwezi kumntain kiwango bora kwa dakika zote 90 nyakati ngumu katika game lazima ziwepo jambo la muhimu ni kuona mnajilinda vipi game ikibadilika na yanga imeonyesha ukomavu mkubwa katika kulinda matokeo, yaan kwa sasa ukitaka kuujua moto halisi wa yanga basi subiri siku itangulie kufungwaIla Yanga bado kazi tunayo ili kumaintain kiwango chetu kwa dkk zote 90.
Kwanza za kuadimika Mkuu, Kheri?djiguii mmoja ni sawa na manula wawili
na tena ana zile pasi amazing za mbali yaan had raha
Hakika.djiguii mmoja ni sawa na manula wawili
na tena ana zile pasi amazing za mbali yaan had raha
Mungu ni mwema nashukuruKwanza za kuadimika Mkuu, Kheri?
Hahahaa!! Hawa mikia tunaishi nao tu hivyo hivyo.Mungu ni mwema nashukuru
nilikimbia kidogo mana matusi ya mikia yalizid ila kwa yanga hii bhana acha tuwe na jeuri mambo mazuri zaidi naamini yatakuja
Wananchi msimu huu tuna jambo letu yaani kwa moto ule sioni wa kutuzuiaHahahaa!! Hawa mikia tunaishi nao tu hivyo hivyo.
Hakika na this season ndo maana halisi ya "Return of Champions" inapochukua nafasi yake.
Injinia wa barabara anaogopa kutoa ahadi isije kuwa kama msimu ulioishaWananchi msimu huu tuna jambo letu yaani kwa moto ule sioni wa kutuzuia
Misimu iliopita tulikuwa tunaanza vizuri ila badae tunaharibu mie nadhan si kwamba tulikuwa na kikosi kibaya sana tulikuwa na timu nzuri isipokuwa simba walikuwa na timu nzuri zaidi yetu
Na msimu huu sio kwamba simba wana timu dhaifu simba bado ni wazuri isipokuwa yanga ni wazuri zaidi
Yani tulitegemea mwakajana Fiston , Sapong , Nchimbi , Farid na Kaseke ndio watupe ubingwa??? Tulifeli Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wananchi msimu huu tuna jambo letu yaani kwa moto ule sioni wa kutuzuia
Misimu iliopita tulikuwa tunaanza vizuri ila badae tunaharibu mie nadhan si kwamba tulikuwa na kikosi kibaya sana tulikuwa na timu nzuri isipokuwa simba walikuwa na timu nzuri zaidi yetu
Na msimu huu sio kwamba simba wana timu dhaifu simba bado ni wazuri isipokuwa yanga ni wazuri zaidi
Manula wawili na Kakolanya sabadjiguii mmoja ni sawa na manula wawili
na tena ana zile pasi amazing za mbali yaan had raha
ndo mambo mkuu usajili ni kama kamari hata ulaya yapo hayo kuna kupata na kupatwa🤣🤣Yani tulitegemea mwakajana Fiston , Sapong , Nchimbi , Farid na Kaseke ndio watupe ubingwa??? Tulifeli Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kipa tunae bhana ila viongozi waangalie mudi hakawii kuvunja benk akatuporaManula wawili na Kakolanya saba