Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Makundi ya Nyoko?? Kumbe ndio huna akili kiasi hiki???
Ismael Aden Rage hakukosea kuwaita Mbumbumbu. Kumbe hujui hata kuna playoffs [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
si uwa mnasema CAF YOTE NI SIMBA.inawezekana tukaenda mpaka makundi moja kwa moja.
 
si uwa mnasema CAF YOTE NI SIMBA.inawezekana tukaenda mpaka makundi moja kwa moja.
Mkuu achana na mambo ya caf jiandae na mechi ya polisi j5 ukipigwa naona dalili kabisa ya bakora kutembea msimbazi
 
hamna hatufungwi.
Simba iko vizuri.
mwakani club bingwa tunaenda peke yetu
😅😅😅 unachekesha kweli nyie msimu huu hata top two hammo, jitahidin mwakan mshiriki japo shirikisho msipoangalia hampandi ndege
sijui mtamuambia nin manara mkishindwa kupata nafas
 
 
 
Halafu hii Misukule tukiibeba lazima tupate nuksi[emoji52]
hamna lolote mkuu nyie msimu huu hamna timu
tukutane kwa mkapa leo mko na wajeda na msimu huu hawataki mchezo sijui leo watawapeleka gereza gani mchague wenyew kama ni keko segerea au ukonga ili stress ziwazidi zaid

kutesa kwa zamu hakuna cha nuksi
 
hamna lolote mkuu nyie msimu huu hamna timu
tukutane kwa mkapa leo mko na wajeda na msimu huu hawataki mchezo sijui leo watawapeleka gereza gani mchague wenyew kama ni keko segerea au ukonga ili stress ziwazidi zaid

kutesa kwa zamu hakuna cha nuksi
Ata msimu ulioisha mlizungumza ivy ivy
 
This season tunachukua ubingwa kwa kumpiga Makolo nje ndani. Tafadhari tunzeni hii comment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…