[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndo unaambiwa unatema kushoto kisha unafukia kulia. Teh teh.
Sure boy.Huyu Nkane naona ana mwanzo mzuri.
Hili kosi lingeipeleka taifa stars QatarHii Yanga ni hatari sana wakuu.View attachment 2069760
Asiyetaka basi. 🤣Hili kosi lingeipeleka taifa stars Qatar
Kuna watu fulani hivi hataki.Hili kosi lingeipeleka taifa stars Qatar
Kweli mkuu halafu hii taarifa haijaja kwa lugha nzuri ni kama wanajisahau kwamba hii timu ni ya wananchi na ndio wenye mamlaka ya nini chakufanyaWakuu...mi napendekeza GSM atupishe.....amesema tuchange 29k ili hela zitumike kumlipa Manara na Senzo. Hili si sawa halikubaliki na lazima litaondoka na mtu....
Hususani makoloKuna watu fulani hivi hataki.
Tusiwe kama makolo...Kweli mkuu halafu hii taarifa haijaja kwa lugha nzuri ni kama wanajisahau kwamba hii timu ni ya wananchi na ndio wenye mamlaka ya nini chakufanya
So hii habari ya kutupa command za kipuuzi na kutuwekea mipaka kwenye uhuru wetu wa mitandao ya kijamii kwa kushawishi ma admin kua asiyechangia pesa hatakiwi kuchati linaleta tafsiri mpya kama hii timu wamejimilikisha wao na kutuona sisi kama vijakazi wao
Kwasababu haiwezekani GSM akalipia bilion 2 za udhamini halafu akashindwa kumalizana na hii ishu peke yake bila kuhusisha michango ya mashabiki, kumbuka ni juzi tu hapo tumetoka kuwacheka makolo kwa ishu hiyo hiyo ya michango....Sasa kwanini tunarudia ujinga ule ule?
Wewe ni SIMBA DAMUKweli mkuu halafu hii taarifa haijaja kwa lugha nzuri ni kama wanajisahau kwamba hii timu ni ya wananchi na ndio wenye mamlaka ya nini chakufanya
So hii habari ya kutupa command za kipuuzi na kutuwekea mipaka kwenye uhuru wetu wa mitandao ya kijamii kwa kushawishi ma admin kua asiyechangia pesa hatakiwi kuchati linaleta tafsiri mpya kama hii timu wamejimilikisha wao na kutuona sisi kama vijakazi wao
Kwasababu haiwezekani GSM akalipia bilion 2 za udhamini halafu akashindwa kumalizana na hii ishu peke yake bila kuhusisha michango ya mashabiki, kumbuka ni juzi tu hapo tumetoka kuwacheka makolo kwa ishu hiyo hiyo ya michango....Sasa kwanini tunarudia ujinga ule ule?
Kweli mkuu bora hata makolo hawakupangiwa dau, na tena angalau tulimuona hata kanjibai akitoa Bilion 2 kuwa influence mashabiki wajitolee zaidiTusiwe kama makolo...
Kama team imemshinda aseme, na sio kutuambia bila 29k hakuna kuchat huu ni unyonyaji.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Utakuwa umechanganya ID ukanifananisha na yule koloWewe ni SIMBA DAMU
Na ndio maana wamemrudisha zahera ili watuchangishe...Kweli mkuu bora hata makolo hawakupangiwa dau, na tena angalau tulimuona hata kanjibai akitoa Bilion 2 kuwa influence mashabiki wajitolee zaidi
Lakini huyu boss wetu mpaka saizi hajatoa chochote na wala haoneshi dalili kwa siku za mbeleni, sasa yanga hii unaitofautishaje na ile ya misimu miwili iliyopita ya kutembeza bakuli?