Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Unadhani si ajabu ikawa ivo tena.
Hakuna kitu kama hicho Yanga msimu huu lazima achukue ubingwa wa ligi amini au usiamini.. Mukoko ni mchezaji mzuri tu lakini ujio wa aucho ni kikwazo kwake pia kocha Nabi inaonekana haziivi na Mukoko. So the only solution kuokoa kipaji chake ni kuondoka kumbuka pale kati tumesajili pia Sureboy na pia tetesi za kutua kwa ciko ushindi zimepamba moto.. Yanga udhaifu nauona kwenye beki ya kushoto tu pengine tupo full hivi timi ina Job,mwamnyeto,Djuma,aucho,Faisal,bangala,Faridi,tibanzokiza,moloko na King Mayele isichukue kombe.. No iyo haipo hata kwa kulogwa... Hatuwezi kuzidiwa na kina kibu Denis [emoji23][emoji23]
 
Hapa naona ndo una hoja ya msingi sana "hatuwezi kuafanikiwa kwa kutengeneza timu kila msimu"
Ujue Mkuu aka kameshakuwa kaugonjwa ketu.

Bila Uongozi kuutafutia namna tutabakia kujuta kila Msimu.
 
Hakuna kitu kama hicho Yanga msimu huu lazima achukue ubingwa wa ligi amini au usiamini.. Mukoko ni mchezaji mzuri tu lakini ujio wa aucho ni kikwazo kwake pia kocha Nabi inaonekana haziivi na Mukoko. So the only solution kuokoa kipaji chake ni kuondoka kumbuka pale kati tumesajili pia Sureboy na pia tetesi za kutua kwa ciko ushindi zimepamba moto.. Yanga udhaifu nauona kwenye beki ya kushoto tu pengine tupo full hivi timi ina Job,mwamnyeto,Djuma,aucho,Faisal,bangala,Faridi,tibanzokiza,moloko na King Mayele isichukue kombe.. No iyo haipo hata kwa kulogwa... Hatuwezi kuzidiwa na kina kibu Denis [emoji23][emoji23]
Itakuwa vizuri na sisi tuvimbe na kutamba 😅 Mtaani sio tunatamba wee ila mwisho wa siku tunaishia kusema zile kauli za "Msimu ujao zamu yetu" huku miaka inasonga.

Mana inafikiaga hatua hata jezi hatuvai tena. Zinabakia za kufanyia mazoezi mida ya jioni. 😅
 
Hakuna kitu kama hicho Yanga msimu huu lazima achukue ubingwa wa ligi amini au usiamini.. Mukoko ni mchezaji mzuri tu lakini ujio wa aucho ni kikwazo kwake pia kocha Nabi inaonekana haziivi na Mukoko. So the only solution kuokoa kipaji chake ni kuondoka kumbuka pale kati tumesajili pia Sureboy na pia tetesi za kutua kwa ciko ushindi zimepamba moto.. Yanga udhaifu nauona kwenye beki ya kushoto tu pengine tupo full hivi timi ina Job,mwamnyeto,Djuma,aucho,Faisal,bangala,Faridi,tibanzokiza,moloko na King Mayele isichukue kombe.. No iyo haipo hata kwa kulogwa... Hatuwezi kuzidiwa na kina kibu Denis [emoji23][emoji23]
Ushamaliza kutoa tangazo[emoji16]
 
Ujue Mkuu aka kameshakuwa kaugonjwa ketu.

Bila Uongozi kuutafutia namna tutabakia kujuta kila Msimu.
Lakini msimu huu hatuwezi kuingia kwenye huo mtego kama misimu miwili iliyopita kulingana na quality of players.. Mfano ni ngumu kumuacha Bangala,aucho, Djuma, Saidoo,na mayele.. Ambao na mashaka nao ni makambo, moloko na yakouba
 
Itakuwa vizuri na sisi tuvimbe na kutamba [emoji28] Mtaani sio tunatamba wee ila mwisho wa siku tunaishia kusema zile kauli za "Msimu ujao zamu yetu" huku miaka inasonga.

Mana inafikiaga hatua hata jezi hatuvai tena. Zinabakia za kufanyia mazoezi mida ya jioni. [emoji28]
Chama ndo kaja leo mshaanza kukata tamaa za ubingwa[emoji28]
 
Itakuwa vizuri na sisi tuvimbe na kutamba [emoji28] Mtaani sio tunatamba wee ila mwisho wa siku tunaishia kusema zile kauli za "Msimu ujao zamu yetu" huku miaka inasonga.

Mana inafikiaga hatua hata jezi hatuvai tena. Zinabakia za kufanyia mazoezi mida ya jioni. [emoji28]
Huu msimu utavaa jezi jifunze kusoma alama za nyakati tena Yanga alivofungwa na Azam tukakosa ubingwa wa mapinduzi itakua ni chachu zaidi kozi sasa hivi presha inazidi kupanda kuliko tungeshinda kombe wachezaji wangebweteka... Sema kocha awape nafasi pia kina ambundo mgushi na bwana mdogo nkane ili kuwepo na ushindani wa namba...
 
Lakini msimu huu hatuwezi kuingia kwenye huo mtego kama misimu miwili iliyopita kulingana na quality of players.. Mfano ni ngumu kumuacha Bangala,aucho, Djuma, Saidoo,na mayele.. Ambao na mashaka nao ni makambo, moloko na yakouba
Huyo Yacouba ikibidi aende tu. 😎
 
Huu msimu utavaa jezi jifunze kusoma alama za nyakati tena Yanga alivofungwa na Azam tukakosa ubingwa wa mapinduzi itakua ni chachu zaidi kozi sasa hivi presha inazidi kupanda kuliko tungeshinda kombe wachezaji wangebweteka... Sema kocha awape nafasi pia kina ambundo mgushi na bwana mdogo nkane ili kuwepo na ushindani wa namba...
Ushauri na Nasaha ni muhimu kwa mashabiki wa Uto[emoji16]
 
Back
Top Bottom