Siku haijaisha Mkuu.Manara Jana alisema kuna Surprise Leo ya Kutangaza Wachezaji wapya.
NASUBIRIA BADO
Ninavyojua Mchezaji Kutambulishwa inakuwa Tayari alishasajiliwa na kuwekwa wazi. Kuna tabia ya Kutufanya Mashabiki ni MBUMBUMBU.Siku haijaisha Mkuu.
Ninavyojua Mchezaji Kutambulishwa inakuwa Tayari alishasajiliwa na kuwekwa wazi. Kuna tabia ya Kutufanya Mashabiki ni MBUMBUMBU.
Utaona hiyo Surprise UTACHEKA
Hakika Mkuu hakuna kucheka na mtu this time na hapa naamini kikosi chetu si cha mchezo mchezo hasa ukizingatia game za miaka miwili nyuma vile ilikuwa tukicheza na Coastal unaangalia mpira kwa presha mwanzo mwisho ila mwaka huu unaangalia mpira ukijua kabisa Coastal hana chake.Hongereni wananchi kwa ushindi. Msimu huu hakuna kucheka na kiumbe yoyote yule. Ni kutupia tu mishale ya kutosha, kama mlivyo fanya leo Mkwakwani..
Natamani pia kumuona Sure Boy akiingia kwenye kikosi cha kwanza mapema iwezekanavyo ili kuongeza ubunifu pale mbele baada ya Fei Toto kuonekana kama ana fatique vile!!
Unamaono kama mimiHongereni wananchi kwa ushindi. Msimu huu hakuna kucheka na kiumbe yoyote yule. Ni kutupia tu mishale ya kutosha, kama mlivyo fanya leo Mkwakwani..
Natamani pia kumuona Sure Boy akiingia kwenye kikosi cha kwanza mapema iwezekanavyo ili kuongeza ubunifu pale mbele baada ya Fei Toto kuonekana kama ana fatique vile!!
Alisikika uto mmoja akisema......Ubingwa wa ligi ni wetu...
[emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169]
Utakufa kwa presha kolo [emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23]