Tuache utani jezi hii tamu kuliko.
Shemela huyu nani tena anakusumbua nimwambiage brother aseme nae.Umeolewa?
Dada samahani.Imeisha hiyoo.
View attachment 2099877
Hata simjui Shem ila itakuwa mgeni hapa jamvini.Shemela huyu nani tena anakusumbua nimwambiage brother aseme nae.
Yaani Shem kama ni jezi tu tushindwe wenyewe this time.Tuache utani jezi hii tamu kuliko.
Hahahaaa. Ujumbe umefika Mkuu wangu.Dada samahani.
Unaweza kutufikishia ujumbe wetu kwa wahusika?View attachment 2099904
Inaelekea wana professional wa eneo hilo, si ile ya Makolokolo FC.Yaani Shem kama ni jezi tu tushindwe wenyewe this time.
Kiufupi GSM kawa mbunifu sana kwenye kutengeneza bidhaa zenye nembo ya Timu ya Wananchi.
Hakika Shem.Inaelekea wana professional wa eneo hilo, si ile ya Makolokolo FC.
Yakishakuua itakuwaje sa? 🤣🤣Mahaba niue[emoji1787]View attachment 2100878
Unazikwa halafu tunakusahau[emoji16]Yakishakuua itakuwaje sa? [emoji1787][emoji1787]
Dah kuna mtihani mzito sana kwa Nabi kuchagua ampange kipa yupi. Mshery [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Diarra nae [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Ifike jumamosi hebu tumlipie mtu kisasi. [emoji3]
View attachment 2106284
Hakika Mkuu japo nadhani watamrudisha Diarra sababu ya unje wake si unajua tena mtu akishatoka nje ndo anaonekana anajua zaidi wakati kwa siku kadhaa zilizopita baada ya Mshery kupewa nafasi kiwango alichokionyesha ni kikubwa mno na kama huyo Diarra kamuacha kwa ubora basi ni kidogo mno na akikaza tu anamkaribia na hata kumpita pia.Dah kuna mtihani mzito sana kwa Nabi kuchagua ampange kipa yupi. Mshery [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Diarra nae [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Binafsi naona wanalingana, ametusaidia sana kipindi ambacho Diarra kaondoka na kaonesha kiwango ambacho wengi hawakutaraji. Kocha afanye busara ya kuwapanga zamu kwa zamu ili kuokoa viwango vya wote wawili lasivyo tutaua kiwango cha kipa mahiriHakika Mkuu japo nadhani watamrudisha Diarra sababu ya unje wake si unajua tena mtu akishatoka nje ndo anaonekana anajua zaidi wakati kwa siku kadhaa zilizopita baada ya Mshery kupewa nafasi kiwango alichokionyesha ni kikubwa mno na kama huyo Diarra kamuacha kwa ubora basi ni kidogo mno na akikaza tu anamkaribia na hata kumpita pia.