Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Binafsi naona wanalingana, ametusaidia sana kipindi ambacho Diarra kaondoka na kaonesha kiwango ambacho wengi hawakutaraji. Kocha afanye busara ya kuwapanga zamu kwa zamu ili kuokoa viwango vya wote wawili lasivyo tutaua kiwango cha kipa mahiri
Hakika. Japo hii inategemea na benchi la ufundi nalo.

Si ajabu Mshery wakampanga game za FA pekee na ukiangalia ni chache sio kama za NBC Premier League.
 
Hivi ndo points kumi eee? 😅😅
20220204_194719.jpg
 
Kila la kheri timu ya wananchi hapo 19:00hrs dhidi ya Mbeya City.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
 
Naona Mbeya City leo imepata Mashabiki wa kumwaga Uwanjani. Lol. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom