Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Binafsi naona wanalingana, ametusaidia sana kipindi ambacho Diarra kaondoka na kaonesha kiwango ambacho wengi hawakutaraji. Kocha afanye busara ya kuwapanga zamu kwa zamu ili kuokoa viwango vya wote wawili lasivyo tutaua kiwango cha kipa mahiri
Hakika. Japo hii inategemea na benchi la ufundi nalo.

Si ajabu Mshery wakampanga game za FA pekee na ukiangalia ni chache sio kama za NBC Premier League.
 
Kila la kheri timu ya wananchi hapo 19:00hrs dhidi ya Mbeya City.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
 
Naona Mbeya City leo imepata Mashabiki wa kumwaga Uwanjani. Lol. 🀣🀣🀣
 
Tunaendelea Tulipoishia Game Ya Mwisho Ya Ligi Kwa Mkapa Tulimtandika Dodoma Jiji 4 Za Moto.

Leo Naona Kunaendelea Pale Pale.

Young Africans, Here We Go.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…