Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,283
sio kweli kuwa yanga ni timu ya magamba. ila magamba ndo wanataka kuitumia kama ngazi ya kujirudishia umaarufu uliotoweka.
cha msingi ni wanayanga wote kusimama kidete na kuwakatalia wanamagamba kuitumia chama yao kama njia ya kujipa umaarufu wa kisasa.
yanga wakiliachia hili liendelee watapoteza umaarufu wao kama magamba walivyopoteza umaarufu wao
cha msingi ni wanayanga wote kusimama kidete na kuwakatalia wanamagamba kuitumia chama yao kama njia ya kujipa umaarufu wa kisasa.
yanga wakiliachia hili liendelee watapoteza umaarufu wao kama magamba walivyopoteza umaarufu wao
