radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Wa2ee 2a kubahatishaFull Time Jkt TZ 0 - Yanga 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa2ee 2a kubahatishaFull Time Jkt TZ 0 - Yanga 1
siku hizi hivi vi timu vinaikania yang sanaFull Time Jkt TZ 0 - Yanga 1
siku hizi hivi vi timu vinaikania yang sana
😳😳😳 ndio herufi gani hizo?Wa2ee 2a kubahatisha
Acha tu Mkuu sijui kama Mikia hawatii Mkono.siku hizi hivi vi timu vinaikania yang sana
Waambiage shemela.King Ngwaba upo Mtani. Haya tumeshazichukua point zetu huko.
Aljebra hizo[emoji15][emoji15][emoji15] ndio herufi gani hizo?
Duuh. Sasa zinaleta maana gani pale?Aljebra hizo
Pole sana. Kesho jipange maana mjini hapatatosha.Ndala wakibahatisha lazima Amani itoweke
Yangaa oyeeee, tunajua mikia FC wanakasirika sana na jamaa zao wa Chamazi.Full Time Jkt TZ 0 - Yanga 1
Kwani yanga amewahi kumfunga mwarabu?Pole sana. Kesho jipange maana mjini hapatatosha.
Nimeshawapa taarifa ili wajue kwamba ile Yanga waliyoiita baiskeli ya mabarafu si kweli kama walivyodhania.Waambiage shemela.
Hahahaaa. Kweli kabisa.Yangaa oyeeee, tunajua mikia FC wanakasirika sana na jamaa zao wa Chamazi.
Sent from my Infinix-X551 using Tapatalk
Bora umenisaidia maana kaniacha mie. 😂😂😂
Mwaka gani mkuu?
Ujue unahama hama mada. Hizi ni dalili za kuteseka Mtani. 😎😎😎Kwani yanga amewahi kumfunga mwarabu?
Teh teh teh. PoleeMwaka gani mkuu?