Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hii mechi ya kirafiki ya Yanga vs As vita imenichekesha sana wote wawili hawa walishirikiana kutaka kumtoa Simba Klabu bingwa Africa na wote walikufa kwa Mnyama sasa hii mechi inakutana Wabovu kwa Wabovu dakika 90 zitaamua ni nani Mbovu zaidi ya mwenzake.
 
Hii mechi ya kirafiki ya Yanga vs As vita imenichekesha sana wote wawili hawa walishirikiana kutaka kumtoa Simba Klabu bingwa Africa na wote walikufa kwa Mnyama sasa hii mechi inakutana Wabovu kwa Wabovu dakika 90 zitaamua ni nani Mbovu zaidi ya mwenzake.
Kuna ile kesi ya kupulizia dawa vyumbani sjui walifika nayo wapi?
 
20190713_181530.jpg
 
Mmeamua kukutana wabovu kwa wabovu ili kumpata mbovu zaidi hahahahahahahaha Wabovu mliosaidiana Taifa kumtoa Simba na bado mkashindwa.
Hahaaaaa. Yote kwa yote mwisho wa siku , siku ya wananchi ipo palepale Mtani.

Karibu upate tishirt na tiketi juu. 😜😜😜
 
Kuna ile kesi ya kupulizia dawa vyumbani sjui walifika nayo wapi?
hii ndio iliyomaliza ufalme wa simba uwanja wa taifa, ilipofanyiwa kazi simba haikushinda tena, ndiyo iliyokuwa inampa kiburi manara atangaze kuwa hata akija barcelona taifa hatoki, wazee wa mbinu tp mazembe wakaneutralize
 
hii ndio iliyomaliza ufalme wa simba uwanja wa taifa, ilipofanyiwa kazi simba haikushinda tena, ndiyo iliyokuwa inampa kiburi manara atangaze kuwa hata akija barcelona taifa hatoki, wazee wa mbinu tp mazembe wakaneutralize
Yaani wewe na akili yako yote uliamini hivyo?... MBAMBANE kule kwao tuliweka dawa?...
VITA CLUB hadi Zahera alilala hotelini kwao akiwapa mbinu zote lakin walipigwa pale taifa...
Kinachowatia aibu ni Simba kufanya vzr... mnanongwa sana nyie chura... MAMELOD aliweka dawa kumfunga AL AHLY 5-0 pale South?
 
M
Hii mechi ya kirafiki ya Yanga vs As vita imenichekesha sana wote wawili hawa walishirikiana kutaka kumtoa Simba Klabu bingwa Africa na wote walikufa kwa Mnyama sasa hii mechi inakutana Wabovu kwa Wabovu dakika 90 zitaamua ni nani Mbovu zaidi ya mwenzake.
mbovu alikupiga vitano bila au fyuzi imechomoka hahahahahahahaha
 
Mmeamua kukutana wabovu kwa wabovu ili kumpata mbovu zaidi hahahahahahahaha Wabovu mliosaidiana Taifa kumtoa Simba na bado mkashindwa.
Kulingana na CAF club ranking vita yupo nafasi ya 12 sasa hebu linganisha na MIKIA mlipo ndio umuite mbovu hahahahaha jiangalie usijekimbizwa mirembe
 
Back
Top Bottom