3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Aliburuza mkiaMwisho wa siku hizo 5 zilimpeleka wapi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliburuza mkiaMwisho wa siku hizo 5 zilimpeleka wapi sasa
Hoja ni kwamba unayemwita mbovu alikupiga kipigo cha mbwa koko wewe ukashinda nyumbani 2-1 kwa mbinde mno sasa hapo nani amwite mwenzake mbovu?????Mwisho wa siku hizo 5 zilimpeleka wapi sasa
Hicho kipigo cha mbwa koko mwisho wa siku kilimpa faida gani kwake au kilimpeleka wapi zaidi ya kuburuza mkia wa kundi.Hoja ni kwamba unayemwita mbovu alikupiga kipigo cha mbwa koko wewe ukashinda nyumbani 2-1 kwa mbinde mno sasa hapo nani amwite mwenzake mbovu?????
Itakuwa ni utaahira kuifananisha vita na simba usijitoe ufahamu.. Nyie endeleeni kula vipigo vya mbwa koko kule sauzi naona m'mepandisha kiwango kutoka hamsa mpaka wiki..Aliburuza mkia
Waling'atwa na bata hahahahaha sasa mnadhani kiwango chenu kilikuwa bora kuwazidi wao, ubora wenu ulikuwa kwenye kapu la magoli kiukweli hapo mliongoza kundiHicho kipigo cha mbwa koko mwisho wa siku kilimpa faida gani kwake au kilimpeleka wapi zaidi ya kuburuza mkia wa kundi.
Leta msimamo wa kundi ulivyokuwa... kila mtu alishinda kwake hiyo mbinde ni mchezo gani?Hoja ni kwamba unayemwita mbovu alikupiga kipigo cha mbwa koko wewe ukashinda nyumbani 2-1 kwa mbinde mno sasa hapo nani amwite mwenzake mbovu?????
Wangekuwa na kiwango wangeburuza mkia wa kundi nendeni mkamtafute mbovu zaidiWaling'atwa na bata hahahahaha sasa mnadhani kiwango chenu kilikuwa bora kuwazidi wao, ubora wenu ulikuwa kwenye kapu la magoli kiukweli hapo mliongoza kundi
Msimamo ninaoujua mimi ni kwamba Mikia waliongoza kundi kwa kubebeshwa kapu zito sana la magoli...Leta msimamo wa kundi ulivyokuwa... kila mtu alishinda kwake hiyo mbinde ni mchezo gani?
Nani anafananisha we chizi?... nimesema aliburuza mkia baada ya kupigwa na simba.Itakuwa ni utaahira kuifananisha vita na simba usijitoe ufahamu.. Nyie endeleeni kula vipigo vya mbwa koko kule sauzi naona m'mepandisha kiwango kutoka hamsa mpaka wiki..
Hebu nipe tathmini fupi ya kule Misri na Congo ulipoenda mara mbili kwa vita na TP??? IlikuwajeWangekuwa na kiwango wangeburuza mkia wa kundi nendeni mkamtafute mbovu zaidi
Sawa kumbe na wewe una msimamo wako... ndio maanaMsimamo ninaoujua mimi ni kwamba Mikia waliongoza kundi kwa kubebeshwa kapu zito sana la magoli...
Vita niliwashangilia kuanzia game ya kwanza kule Congo ukila mkono, Wewe ule vitasa vitano halafu ubahatishe kimoja unajiona bora ni ukichaa huoNani anafananisha we chizi?... nimesema aliburuza mkia baada ya kupigwa na simba.
Hayo ya south africa hayakufanyi wewe yanga kuwa bora dhidi ya simba...
Nyie na vita club mliungana pale taifa Simba ikawapa kilicho bora kabisa.. na mwaka huu muandae pa kukimbilia kushangilia.
Kabisa nakumbuka halafu ikawajeSawa kumbe na wewe una msimamo wako... ndio maana
Nakukumbusha kuwa simba alienda robo fainal na Vita club alirudi nyumbani.. (bisha tena)
Unataka tathmini gani ,Tathmini ya ubora ilkuwa kwenye Group stage basi hakuna tathmini nyingine zaidi ya hiyo ,Msimamo wa kundi ulivyomalizika ndio ubora wa timu huo sio kufunga magoli.Hebu nipe tathmini fupi ya kule Misri na Congo ulipoenda mara mbili kwa vita na TP??? Ilikuwaje
Then na wewe ulete ya hapa jirani tu Kenya dhidi ya Gor mahia.. hom and away.Hebu nipe tathmini fupi ya kule Misri na Congo ulipoenda mara mbili kwa vita na TP??? Ilikuwaje
Huyo unayesema ni bora alifika wapi na huyu mbovu alifika wapiVita niliwashangilia kuanzia game ya kwanza kule Congo ukila mkono, Wewe ule vitasa vitano halafu ubahatishe kimoja unajiona bora ni ukichaa huo
Hawa ndio washangilia vyenga badala la ushindi mkuu..Unataka tathmini gani ,Tathmini ya ubora ilkuwa kwenye Group stage basi hakuna tathmini nyingine zaidi ya hiyo ,Msimamo wa kundi ulivyomalizika ndio ubora wa timu huo sio kufunga magoli.
Umemuambia hapo juu leta msimamo wa kundi ulivyomalizika tuone hiyo timu anayosema ni bora ilimaliza ya ngapi ana piga blabla tuHawa ndio washangilia vyenga badala la ushindi mkuu..
Namba ya LEGEND NADRI HAROUB na Captain AJIBU vipi?WACHEZAJI WAPYA YANGA NA NAMBA ZAO ZA JEZI..Msimu 2019/2020
ISSA BIGIRIMANA JEZI NO: 10
PATRICK SIBOMANA JEZI NO: 9
SADNEY ULKHOB JEZI NO; 17
JUMA BALINYA NO: 18
MAYBIN KALENGO JEZI NO: 19
METACHA MNATA JEZI NO; 30
MUHARAMI ISSA JEZI NO: 2
ALLY H. ALLY JEZI NO: 14
BALAMA MAPINDUZI NO: 7
ALLY MTONI SONSO JEZI NO: 3
ABDULLAZIZ MAKAME NO: 21
LAMINE MORO JEZI NO: 25
MUSTAPHA SULEIMAN NO; 15
FAROUK SHIKALO NO: 1View attachment 1158196