babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Mikiaaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kitambo, tumewanyoa mikiaWadau vip huko ndani??
Gsm 2 0 MoWadau vip huko ndani??
tupe yaliyojiriKazi imekwisha,,,mtu wa wekundu mazee!
wewe ndio mjinga zaidiWewe ni mjinga... Mchezaji anachezaje bila TFF kumuidhinisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watanzania mnakua kama kuku, hata umpige umvunje mguu kumfukuza bado atarudi tu, hawa watu wanawadanganya kila siku mnawasikiliza tu??MikiaaaaaaaaaaaView attachment 1533160
We ni mpumbavu wa mwisho hujui na hujawahi kusaini scand docs? Kwamba unasaini kisha unatuma? Barua ya maombi ya kazi za PDF huwa unatumaje ww kilaza? Kazi nyingi unasaini mkataba online. Tanzania wehu ni wengi sanawewe ndio mjinga zaidi
unajua maana ya ku foji? passport inaonyesha mtu kaja nchini tar 17, ww unapeleka makabrasha siku mbili nyuma yametiwa na sahihi, ..TFF kwann asikupe kibali?? kwann asipokee? mmefoji taarifa na sasa zinawachinja
Inaweza kuta na sehemu walipo mpata, ni kijijin sana nasikiawewe ndio mjinga zaidi
unajua maana ya ku foji? passport inaonyesha mtu kaja nchini tar 17, ww unapeleka makabrasha siku mbili nyuma yametiwa na sahihi, ..TFF kwann asikupe kibali?? kwann asipokee? mmefoji taarifa na sasa zinawachinja
Morrison?Feisal Salum Yanga hadi 2024
Chukua hiyo [emoji91]
Hapo ndipo inajidhihirisha kuwa Yanga katimu ka hovyo. Uliwahi ona wap timu makini inajifanyia ujinga ujinga km huoSafisha wachezaji wote acha watatu tu niyonzima, feisal, mnata leta watu wapya uone shughuli
Yasome vizuri gaya maneno kisha linganisha na uhalisia wake. Utagundua uwezo kiduchu wa aliyeandikaMikiaaaaaaaaaaaView attachment 1533160