Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
😀😀😀 Ndo hapo sasa.Si wanasema budget yao bilion 7 kwa mwaka hawa sasa imekuwaje wanatoka sare?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 Ndo hapo sasa.Si wanasema budget yao bilion 7 kwa mwaka hawa sasa imekuwaje wanatoka sare?
Hahahaa. Yamekuwa hayoo. LolSimba nayo ni utopolo tuu
Wanapenda kutuiga sana hawa jamaa.Watu Bwana, Eti Yanga Jana wamezindua jezi zao, Simba Eti kwa kuwajibu wamezindua Sare, ha ha ha mbavu zangu mie
Na wakae wajipange mana tukiwaacha kidogo tu ishakula kwao mana huu sio msimu wa wachezaji aina ya kina Yikpe.Ndugu yangu hii ndio shida ya kuzoea kubebwa, siku wakukubeba akiyumba kidogo tu ndiyo haya sasa. Mi nimeshangaa juzi walivyopaza sauti hadi nusu ya kuchanika midomo kisa sisi kutoa dro na prisons
😂😂😂😂WIVU UMEWAPONZA... WAMEONA TUMEZINDUA JEZI ZETU NA WAO WAMEAMUA KUZINDUA SARE ZAO
Waambie wajue na yule chizi asipowika mechi mbili tatu ataanza yale mambo yake ya kususa. 🤣Tuliposema hatutoi kibali cha Morriso nadhani hawakuelewa. Sisi tumeshikilia kibali chetu cha Sumbawanga, Tanga na Bagamoyo... Wao waache na kibali chao feki walichopewa na TifuaTifua(TFF) muone kama huyo Nguchiro atacheza msimu huu.... HATUTOI KIBALI CHA MORRISON KUCHEZA . Mashitaka yetu yalishafika makao makuu ya FIFA kule Sumbawanga. Pia tumeshitaki mahakama za CAS kule Bagamoyo
Wanajua kusahau sana hawa jamaa. Juzi walitutia sana masingi kisa tumetoa sare.Akitoa sare yanga mnaponda kweli ila nyie mkia mkitoa sare ndo mnajua kua mpira una matokeo matatu.
Mabwege nyieeee
Vinaishi kwa mazoea na vichezaji vyaoNa wakae wajipange mana tukiwaacha kidogo tu ishakula kwao mana huu sio msimu wa wachezaji aina ya kina Yikpe.
Sawa Mwanaichi.Timu yetu Yanga bado sana kutwaa ubingwa wa ligi kuu, tusijidanganye Wakuu.
Daima mbele nyuma mwiko
Mtani mnashinda njaa ama? 😎😎
Uwiiiii!!! Na badoo 🤣🤣🤣Mbeya city timu yangu ya utotoni leo nawategemea hata droo tu inatosha.
Mtani mnashinda njaa ama? [emoji41][emoji41]
Haya Mtani. Najua watakaza kufidia kile kipigo walichokipata juzi lakini naamini hata goli moja au mawili basi tutawafunga.
Haya Mtani. Najua watakaza kufidia kile kipigo walichokipata juzi lakini naamini hata goli moja au mawili basi tutawafunga.