dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
Hii kali duuhhh...ndo kumla supu kabisa[emoji39][emoji1787][emoji1787]Mishkaki au supu....View attachment 1839135
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kali duuhhh...ndo kumla supu kabisa[emoji39][emoji1787][emoji1787]Mishkaki au supu....View attachment 1839135
Na bado tunawasubiri Lake Tanganyika maana kazi inaendelea.Ukinuna uwe na sababu. 🤣🤣🤣
View attachment 1838983
Mlichokimbia tarehe 8 Ni min Sasa, hebu tuelezee kinagaubagaHongera Sana
Hakika MkuuNa bado tunawasubiri Lake Tanganyika maana kazi inaendelea.
Siku nyingine mkiona Rais kaalikwa kwenye game yetu mkimbie tu. Na tuna mipango hata Kule Kigoma Mama atakuwepo, Sasa jipendekezeni kuleta timu mtakachokumbana nacho Ni zaidi ya leo.Hongera kwa ushindi Shadeeya mmeonesha mchezo mzuri, hakika mmestahili ushindi.
Mmelitia mchanga biriani letu sasa tungelila vipi.
Simba nguvu moja
SIMBA BINGWA
Yeye ndiyo anawaponza.Juzi karopoka sana yule jamaa.
HongeraWaswahili wanasema 'mficha maradhi kifo humuumbua'
Mnyama Simba anakwenda kuwaumbua leo.
Simba nguvu moja
Uzuri wa Zimbwe nae mwepesi lkn Ile shughuli angekutana nayo tena Onyango???hata tuta mbili leoTK mastet,Zimbwe hana hamu.
Leo wataamka????
Hahahaaa. Sidhani aisee.Leo wataamka????
Wananchi nawapenda hawana kelele nyingi kama wazee wa pori, Tangu Jana jioni mitandao iko kimya, mambo shwari kabisa. TUNAWASHUKURU KWA KUTUFUNGIA MIDOMO HAWA MIKIA.mwananchi unapata supu ya mkia kutoka upande gani leo?