Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Karibuni kwenye show za kikubwa kesho ....wanaume wakiitetea heshma ya nchi,sio nyinyi kazi kutudhalilisha tu mkichabangwa nje ndani hovyohovyo

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii ni nzuri katika kitengeneza utimamu wa wachezaji. Ni mbaya sana kukaa muda mrefu pasipo kucheza mechi ya kimaahindano wachezaji wanakosa match fitness. Na pia kuna wachezaji wengi wametoka majeruhi ni ngumu sana mchezaji atoke majeruhi hakucheza mechi zaidi ya wiki tatu halafu aje apangwe kwenye derby hawezi perform. Hivyo hiyo mechi itasaidia wakina aucho na Feisali kuanza kupasha pasha
Ni kweli mkuu. Kitaalamu uko sahihi. Ila kwa figisu za soka la bongo,ni hatari sana mabadiliko yanapotokea ghafla

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nyie utopwinyo hivi mnajionaga kina nani kwani?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Hahahahaaa. Muulize huyu hapa. 👇
20220416_163522.jpg
 
Karibuni kwenye show za kikubwa kesho ....wanaume wakiitetea heshma ya nchi,sio nyinyi kazi kutudhalilisha tu mkichabangwa nje ndani hovyohovyo

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mjitahidi mfuzu ili muendelee kutupigia kelele. Mkitolewa mjue hamna mtakachokitambia msimu huu maana huenda makombe yote yakaenda jangwan mkabakia na Mapinduzi yenu
 
Back
Top Bottom