cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Udhi wa moto huu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Udhi wa moto huu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byutiKwa nilichokiona mechi ya jana wakuu, hii Yanga ni moto wa kuotea mbali nyie subirini muone.
Source mkuu angalau ya picha itapendeza sanaRASMI SASA.
SIMBA NA YANGA KUANZIA HATUA ZA AWALI KLABU BINGWA AFRIKA.
Fungua PDF hioView attachment ykzpri1vwewnadrj3byd (1).pdfSource mkuu angalau ya picha itapendeza sana
Nondo ni beki wa kawaida sana,yan bora hata job aisee..nikimkumbuka nondo yule wa Kwa zahera,sijawahi kumuamini hata siku mojaKama Yanga wanaongeza beki ya kati Mkameruni kwa maagizo ya Kocha maana yake ameona Kapteni wa Taifa Stars Michuano ya CHAN hatoshi
Hapa kuna somo kubwa kama taifa
Ila sijui kama wasomi wa soka la taifa watamsaidia Nondo kwa nguvu ile ile wanayotumia kujadilia matukio madogo ya kikanuni ambazo nazo zina ukakasi
Ndio soka letu hili la upepo na trendings…
Hiyo habari inaukweli kiasi gani..?Kama Yanga wanaongeza beki ya kati Mkameruni kwa maagizo ya Kocha maana yake ameona Kapteni wa Taifa Stars Michuano ya CHAN hatoshi
Hapa kuna somo kubwa kama taifa
Ila sijui kama wasomi wa soka la taifa watamsaidia Nondo kwa nguvu ile ile wanayotumia kujadilia matukio madogo ya kikanuni ambazo nazo zina ukakasi
Ndio soka letu hili la upepo na trendings…
Aongezwe tu kwa kweli. Mwamnyeto pale kati hapana aisee! Anajisahau mno!Kama Yanga wanaongeza beki ya kati Mkameruni kwa maagizo ya Kocha maana yake ameona Kapteni wa Taifa Stars Michuano ya CHAN hatoshi
Hapa kuna somo kubwa kama taifa
Ila sijui kama wasomi wa soka la taifa watamsaidia Nondo kwa nguvu ile ile wanayotumia kujadilia matukio madogo ya kikanuni ambazo nazo zina ukakasi
Ndio soka letu hili la upepo na trendings…
Hiyo habari imetoka wapi au mnazusha tu...Aongezwe tu kwa kweli. Mwamnyeto pale kati hapana aisee! Anajisahau mno!
Mimi nimeunga tu mkono maelezo ya mtu mwingine. Kama una maswali, mapovu! Yapeleke kwake.Hiyo habari imetoka wapi au mnazusha tu...
Naona leo umechangia mkuu.Kama Yanga wanaongeza beki ya kati Mkameruni kwa maagizo ya Kocha maana yake ameona Kapteni wa Taifa Stars Michuano ya CHAN hatoshi
Hapa kuna somo kubwa kama taifa
Ila sijui kama wasomi wa soka la taifa watamsaidia Nondo kwa nguvu ile ile wanayotumia kujadilia matukio madogo ya kikanuni ambazo nazo zina ukakasi
Ndio soka letu hili la upepo na trendings…
Sio kweli, huo ni wivu. Nondo ni moja kati ya wachezaji wachache watanzania wenye kipaji kikubwa cha mpira.Nondo ni beki wa kawaida sana,yan bora hata job aisee..nikimkumbuka nondo yule wa Kwa zahera,sijawahi kumuamini hata siku moja
Wacha upuuzi, NONDO amecheza vzr msimu mzima uliopita, kapwaya kdg mechi ya juzi na vipers mshaanza miropoko.Aongezwe tu kwa kweli. Mwamnyeto pale kati hapana aisee! Anajisahau mno!
Toa maoni yako na kwa mtazamo wako. Huna sababu ya kutoka povu.Wacha upuuzi, NONDO amecheza vzr msimu mzima uliopita, kapwaya kdg mechi ya juzi na vipers mshaanza miropoko.
NONDO ANAZINGUA SANA, MZITO, AFU ANAKOKOTA MPIRA CHUMBA NA SEBULE WAKATI BALL CONTROL YAKE NI MBOVU. KWA TUENDAKO HATUFAI NA HUO NDIO UKWELI MCHUNGU.Wacha upuuzi, NONDO amecheza vzr msimu mzima uliopita, kapwaya kdg mechi ya juzi na vipers mshaanza miropoko.
Nimuonee wivu wa Nini,mi sio mcheza mpira..ila chukua hii,nondo ni promo tu ila ni beki wa kawaida sana..Sio kweli, huo ni wivu. Nondo ni moja kati ya wachezaji wachache watanzania wenye kipaji kikubwa cha mpira.
Uzi wa nyaunyau kule umedoda yote yamejazana huku! Hayanaga akili haya![emoji881][emoji881]View attachment 2310997