Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi mara ya mwisho hata Magu alikua bado anatumbua majipuHivi jamani mara ya mwisho mikia kuongoza ligi ilikuwa lini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Soda ilikua Tshs 5,00/= Dr Mwaka alikua na wake wanneHivi jamani mara ya mwisho mikia kuongoza ligi ilikuwa lini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Hatari sana Mkuu.Soda ilikua Tshs 5,00/= Dr Mwaka alikua na wake wanne
Hahahaaa. Na mambo haya yalivyo usikute wakikaa wanajua ipo siku watakaa pale juu eti.Nahisi mara ya mwisho hata Magu alikua bado anatumbua majipu
Waendelee kuota tuHahahaaa. Na mambo haya yalivyo usikute wakikaa wanajua ipo siku watakaa pale juu eti.
Neno sahihi ni BUTUPamoja na ushindi wa jana, bado safu yetu ya ushambuliaji haiko makini juu tunapoteza nafasi mingi za wazi.
Benchi la ufundi bado linakazi kubwa mnoo juu ya hizi forward zetu.
Mayele anapoteza nafasi mingi za wazi, angelikuwa makini mpaka sasa ilikuwa 20+ goals anaongoza.
Anahitajika kuongeza umakini akiwa mbele ya goli la upinzani.
We deserve more than this[emoji1434] we are Young Africans[emoji172][emoji169]
#WANANCHIIII
Waache wazubae, tutachukua ubingwa wa hii ligi misimu mitano mfululizo na wakiendelea kuzubaazubaa tunachukua mara kumi.Huu ndio mwanzo katika kuelekea kuutwaa ubingwa wetu kwa mara ya pili mfululizo.
Lakini pia mfumo wa kuweka striker mmoja mbele kunatunyima sana nafasi hasa kwa ligi ya home.Pamoja na ushindi wa jana, bado safu yetu ya ushambuliaji haiko makini juu tunapoteza nafasi mingi za wazi.
Benchi la ufundi bado linakazi kubwa mnoo juu ya hizi forward zetu.
Mayele anapoteza nafasi mingi za wazi, angelikuwa makini mpaka sasa ilikuwa 20+ goals anaongoza.
Anahitajika kuongeza umakini akiwa mbele ya goli la upinzani.
We deserve more than this[emoji1434] we are Young Africans[emoji172][emoji169]
#WANANCHIIII
Ukijaza hao ma strikers timu nani ata kaba? bora ushindi mwembamba kuliko ku risk kufungwaLakini pia mfumo wa kuweka striker mmoja mbele kunatunyima sana nafasi hasa kwa ligi ya home.
Mayele kila beki anamjua kuwa ni hatari mkimwacha pekee yeye atakabwa na bwatu 3 hadi 4...uchezaji wake unakua mgumu sana tuliona game ya mwisho hadi inabidi arudi nyuma kufuata mipira/kusaidia kuokoa ,hiyvo hata nafasi ikipatokana anakua na papara au anapata disturb nyingi,tuliona mfano ile alivyotaka kuwaacha wachezaji 5 lakini wakamvuta jearse...
Nabi aweke mfumo wa double strikers kama alivyofanya 2nd half wakicheza vile uhakika wa mabao mengi unakuwepo,
Hebu ajaribu
Morison +Musonda+Mayele+Moloko
Sisi tusha ondoka, mtatujuza kunacho jiri huko mahakamani OKW BOBAN SUNZU Scars mawakili uchwaraView attachment 2509401
Mnawachosha mashabiki zenu kwahio wahamie huku kweye logo kwenye mikataba mnamuachia nani?
SportPesaMnawachosha mashabiki zenu kwahio wahamie huku kweye logo kwenye mikataba mnamuachia nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnawachosha mashabiki zenu kwahio wahamie huku kweye logo kwenye mikataba mnamuachia nani?
Wapi Fei Kubwa ?Sisi tusha ondoka, mtatujuza kunacho jiri huko mahakamani OKW BOBAN SUNZU Scars mawakili uchwaraView attachment 2509401