Young Africans "Tusikubali" Mwakalebela anatupotosha juu ya "sakata la morrison"

Young Africans "Tusikubali" Mwakalebela anatupotosha juu ya "sakata la morrison"

Ndio maana washabiki na viongozi wa Yanga bado wana hasira za kuporwa Morrison.
Tulifikiri jambo hili lishaisha.
Washabiki wa Simba msiende kukaa walipo washabiki wa Yanga Mpirani watakupigeni.
Bado wana hasira sana.
Ila anapoporwa mchezaji wa Simba mambo yanakuwa shwari.
Na washabiki wa Simba wanapotezea tu.
Jamani tuwarudidhie Morrison wao japo wapate usingizi.
Kwani inaonekana akina Kalinyo, Kisinda na Sapongo bado hawajawakata kiu.
Mkuki ni kwa Nguruwe.
 
Yanga wamekwenda Tff waki rejea hukumu ya ku polwa mchezaji kwa kisingizio cha mapungufu ya mkataba na kupewa simba. Wakati ata uko Simba viongozi hawajasaini izo nyaraka za mkataba wa Morrison. kosa kama ilo lili pelekea mkataba uonekane na mapungufu akiwa Yanga.
Yanga ni part ya mkataba wa simba na morison??
 
Simba inatakiwa walipe ada ya usajili wa Morison Kama wataendelea kupewa kiburi na Tff mwisho wake utakua mbaya ata Tff watashindwa kuwaokoa.
 
Labda wanataka Morrison awe mchezaji huru ili wamsajili! [emoji16]
Yanga wanarejea hukumu iliyo tolewa na Tff ambayo ili wa athiri kwa kunyang'anywa mchezaji ki huni, kwakutumia ile hukumu outomatically Yanga anaingia kama third-party.
 
Kwani masuala ya mkataba mtu yeyote anaweza kulalamika? Au ni Kati ya mwajiri na mwajiriwa?
 
Ndio maana mmeitwa nyani!

TFF haikuwanyang'anya Yanga Morrison,ila ilimpa haki yake ya kuchagua timu aitakayo.

Sasa hata kama TFF itaamua malalamiko ya Yanga,itampa nani haki kwenye shauri hili?

Basi tuseme iwape haki Yanga au timu yoyote ya kumsajili Morrison,unadhani Morrison bidhaa unaisajili tu bila ridhaa?
Ni lazima utahitaji ridhaa yake.

Kweli nyani ni nyani
Yanga wanarejea hukumu iliyo tolewa na Tff ambayo ili wa athiri kwa kunyang'anywa mchezaji ki huni, kwakutumia ile hukumu outomatically Yanga anaingia kama third-party.
 
Ndio maana mmeitwa nyani!

TFF haikuwanyang'anya Yanga Morrison,ila ilimpa haki yake ya kuchagua timu aitakayo.

Sasa hata kama TFF itaamua malalamiko ya Yanga,itampa nani haki kwenye shauri hili?

Basi tuseme iwape haki Yanga au timu yoyote ya kumsajili Morrison,unadhani Morrison bidhaa unaisajili tu bila ridhaa?
Ni lazima utahitaji ridhaa yake.

Kweli nyani ni nyani
Kwenye mpira wa kisasa mwenye mchezaji ndie anaye amu amu uzie nani, wewe ukishasajiliwa na kulipwa stahikizako unakua mtumwa unaweza ukauzwa, ukapelekwa kwamkopo, uka kaa kwenye benchi inategemea mwajili anatakanini. Mfano hai ni Samata Yuko kwa mkopo uturuki.Mchezaji ni bidhaa katika soka la sasa, Mwangalie Sancho na Man u, Sancho na Man u inaonekana walishaelewana Ila Dortmund hawako tayari.
 
Yanga wana interest na mgogoro wa Morrison kwakua uyo mchezaji wali porwa kwa nguvu na Tff kwa maslai ya friends of Simba, na kipengele kilichotumika kuwa pora Yanga uyo mchezaji ni mapungufu ya mkataba na moja ya mapungufu waliyo ainisha kwenye hukumu ya uporaji ni kuto onekana sahihi za viongozi wa Yanga.
Sasa mkataba ambao Morrison amesaini na Simba unaonekana unamapungufu kama alio saini na Yanga.
Kwa ujumla timu yoyote inaweza kulalamikia swala la Morrison kwakua liana angukia kwenye usajili ambao unamapungufu na adhabu za caf ni kunyanga'nywa ushindi katika mechi zote mchezaji alizo cheza au kukaa bench.
Tff mmeshakula fedha ya akina Hanspop, Magori n.k mnakazi ya kuzirudisha au mzidi kuharibu kazi.
Unadai kuwa mapungufu ya kwenye mkataba na Simba ndo' yale yaliyokua kwenye mkataba na Yanga..halafu unasema adhabu ni kupokwa points, Morrison alicheza game ngapi msimu uliopita? Mlipokwa points?! Ni kuwapendelea sana kusema utopolo hamna akili, ninyi hata ubongo hakuna
 
Yanga wana interest na mgogoro wa Morrison kwakua uyo mchezaji wali porwa kwa nguvu na Tff kwa maslai ya friends of Simba, na kipengele kilichotumika kuwa pora Yanga uyo mchezaji ni mapungufu ya mkataba na moja ya mapungufu waliyo ainisha kwenye hukumu ya uporaji ni kuto onekana sahihi za viongozi wa Yanga.
Sasa mkataba ambao Morrison amesaini na Simba unaonekana unamapungufu kama alio saini na Yanga.
Kwa ujumla timu yoyote inaweza kulalamikia swala la Morrison kwakua liana angukia kwenye usajili ambao unamapungufu na adhabu za caf ni kunyanga'nywa ushindi katika mechi zote mchezaji alizo cheza au kukaa bench.
Tff mmeshakula fedha ya akina Hanspop, Magori n.k mnakazi ya kuzirudisha au mzidi kuharibu kazi.
Issue ya simba na mazemba nibtofauti. Timu alitotoka mchezaji ndiyo ililalamika kuwa mchezaji hakusajiliwa kihalali na wakawapa simba vielelezo.
Issue ya Morison na yanga kuhusu mkataba aliyeenda kulalamika ni Morison lakuni mkataba wa Morison na Simba hakuna katibyao aliyeenda kulalamika yanga waeleze wamepataje mkataba wa Simba na Morison wakati sio sehemu ya mkataba kwani hata Simba walipoeleza kuhusu Morison kucheza bila mkataba walijua baada ya Morison kutoa siri hii issue inaweza kumgeukia Mwakalebela kimaadili.
 
Mpira gani wa kisasa unaoghushi saini kwenye mkataba ili ummiliki mchezaji?Unamlipa pesa kwenye akaunti yake bila ridhaa yake halafu unasema na malipo amechukua?

Na ndio maana Morrison alilalamikia hilo TFF.Sasa Yanga wanalalamikia nini?
Kwenye mpira wa kisasa mwenye mchezaji ndie anaye amu amu uzie nani, wewe ukishasajiliwa na kulipwa stahikizako unakua mtumwa unaweza ukauzwa, ukapelekwa kwamkopo, uka kaa kwenye benchi inategemea mwajili anatakanini. Mfano hai ni Samata Yuko kwa mkopo uturuki.Mchezaji ni bidhaa katika soka la sasa, Mwangalie Sancho na Man u, Sancho na Man u inaonekana walishaelewana Ila Dortmund hawako tayari.
 
Kwenye mpira wa kisasa mwenye mchezaji ndie anaye amu amu uzie nani, wewe ukishasajiliwa na kulipwa stahikizako unakua mtumwa unaweza ukauzwa, ukapelekwa kwamkopo, uka kaa kwenye benchi inategemea mwajili anatakanini. Mfano hai ni Samata Yuko kwa mkopo uturuki.Mchezaji ni bidhaa katika soka la sasa, Mwangalie Sancho na Man u, Sancho na Man u inaonekana walishaelewana Ila Dortmund hawako tayari.
Baada ya hukumu,kabl Morison hajasajiliwa Simba alikuwa ni mchezaji wa Yanga?
 
Kipindi kile walisema mkataba wa morison na yanga ulikuwa hauna mapungufu, leo wamasema kama mkataba kati ya yanga na morison ulikuwa na mapungufu basi mkataba wa simba na morison pia una mapungufu
Hapo sasa!!
 
Cha msingi hoja isikilizwe, Mkataba wa Yanga na Morrison ulikua na dosari hivyo Morrison alikua huru na hakua mchezaji wa Yanga, mkataba wa Simba na Morrison kwa sasa una dosari hivyo Morrison yupo huru na Simba inapaswa kuadhibiwa kwa kumchezesha mchezaji ambaye hana mkataba.
 
Cha msingi hoja isikilizwe, Mkataba wa Yanga na Morrison ulikua na dosari hivyo Morrison alikua huru na hakua mchezaji wa Yanga, mkataba wa Simba na Morrison kwa sasa una dosari hivyo Morrison yupo huru na Simba inapaswa kuadhibiwa kwa kumchezesha mchezaji ambaye hana mkataba.
Simba imepewa leseni na TFF, hakuna adhabu hapo, sahau kabisa. Zamani kulikuwa na tatizo la kukatiana rufaa wakati ligi inaendelea. TFF (FAT wakati huo) wakaweka utaratibu wa kuresolve mambo yote kabla ligi haijaanza na kisha kutoa leseni, ikaondoa tatizo la rufaa wakati ligi inaendelea, kwamba kama kuna mgogoro uishe kwa timu/mchezaji kumalizana au timu/mchezaji kuadhibiwa. Ndio maana akina Ngasa walipewa leseni ila kwa condition ya kulipishwa faini na kuadhibiwa kwa kusaini sehemu mbili,kisha wakaendelea kucheza. Kama mchezaji alipewa leseni kwa makosa, hilo si tatizo la timu, ni la TFF
 
Cha msingi hoja isikilizwe, Mkataba wa Yanga na Morrison ulikua na dosari hivyo Morrison alikua huru na hakua mchezaji wa Yanga, mkataba wa Simba na Morrison kwa sasa una dosari hivyo Morrison yupo huru na Simba inapaswa kuadhibiwa kwa kumchezesha mchezaji ambaye hana mkataba.
Mkataba wa Yanga na Morison ulikugundukika una dosari baada ya morison kuishtaki Yanga TFF,sasa kweny hili la mkataba wa Simba na Morison,Yanga wanashtaki kama nani?
 
Back
Top Bottom