Young Africans "Tusikubali" Mwakalebela anatupotosha juu ya "sakata la morrison"

Young Africans "Tusikubali" Mwakalebela anatupotosha juu ya "sakata la morrison"

Yanga wana interest na mgogoro wa Morrison kwakua uyo mchezaji wali porwa kwa nguvu na Tff kwa maslai ya friends of Simba, na kipengele kilichotumika kuwa pora Yanga uyo mchezaji ni mapungufu ya mkataba na moja ya mapungufu waliyo ainisha kwenye hukumu ya uporaji ni kuto onekana sahihi za viongozi wa Yanga.
Sasa mkataba ambao Morrison amesaini na Simba unaonekana unamapungufu kama alio saini na Yanga.
Kwa ujumla timu yoyote inaweza kulalamikia swala la Morrison kwakua liana angukia kwenye usajili ambao unamapungufu na adhabu za caf ni kunyanga'nywa ushindi katika mechi zote mchezaji alizo cheza au kukaa bench.
Tff mmeshakula fedha ya akina Hanspop, Magori n.k mnakazi ya kuzirudisha au mzidi kuharibu kazi.
Luc hakukosea kuwaita manyani? Issue ya mkataba inahusu pande mbili, ni Morison na Simba na hizo pande mbili hakuna sehemu kati ya hizo pande mbili zimelalamika kuhusu mkataba.
Afu Utopolo mna kesi ya kuingia kwenye account ya usajili bila hidhini ya simba. Mmetoa wapi password ya account ya simba, ikiwa kwenye system ya usajili kila timu inapewa password yake na inaingia kwenye account yake tu. Afu mwakalebela kuonesha kua hajui hata anachokisema anaenda kusema eti mkataba wa simba na Morison ni public sio wa siri. Inamaana yeye mikataba walioingia na Wachezaji wanaiweka hadharani? kamwe mkataba haiwezi kua public
 
Simba waliwahi kupewa ushindi na Caf dhidi ya Tp Mazembe kwakua walimchezesha mchezaji ambaye usajiliwake ulikua una utata. Yanga wanakwenda kulalamikia kwakua mchezaji anacheza ligi ya Tanzania, Simba imenufaika kupata ushindi katika mechi zote alizocheza Morrison ambaye anamapungufu katika usajili inabidi point izo simba wanyang'anywe.
Shida ya kukopi na kupaste, Malalamiko ya simba dhidi ya mchezaji wa TP mazembe ni tofauti na la Yanga, Ebu ifuatilie vizuri ile kesi sio kuleta mifano isiyofanana
 
Simba inatakiwa walipe ada ya usajili wa Morison Kama wataendelea kupewa kiburi na Tff mwisho wake utakua mbaya ata Tff watashindwa kuwaokoa.
Yaani nikajua akili unazo, Kweli we ni Utopolo halisi, kwani umemsikia Morison analalamika kua Simba hawajamlipa ada ya uhamisho
 
Simba waliwahi kupewa ushindi na Caf dhidi ya Tp Mazembe kwakua walimchezesha mchezaji ambaye usajiliwake ulikua una utata. Yanga wanakwenda kulalamikia kwakua mchezaji anacheza ligi ya Tanzania, Simba imenufaika kupata ushindi katika mechi zote alizocheza Morrison ambaye anamapungufu katika usajili inabidi point izo simba wanyang'anywe.
Morrison amecheza ligi ya ndani, na sio CAF club championship, kanuni za TFF zinahusika hapa, kulikuwa na muda wa pingamizi ambao ulipita kitambo, Yanga walipeleka pingamizi kuhusu Morrison na lilitupwa, hakuna nafasi ya pingamizi jipya
 
Back
Top Bottom