Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Wanapaki basi mjomba
Aiseee.
Yani wivu sasa!!!!maana mechi yetu ya shy ni mpaka j3.
mbaya zaidi na msimu huu hatutapata nafasi ya kuiwakilisha nchi!!!
KOPUNOVIC must go nyambafu!!!
Hiki kitimu ilikuwaje kikalambwa 5 Daslam? Nlitegemea na leo kachezee kichapo.Dk 90
Platinum 1 - 0 Yanga
Mpira nzuri lakin una presha sana
nifah, Bantu lady, Matale Masuke na wengineo njooni tusaidiane nakufa na presha huku
Hiki kitimu ilikuwaje kikalambwa 5 Daslam? Nlitegemea na leo kachezee kichapo.
ndanda fc 1 mbeya city fc 1 mpira unaendelea