Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Duuu..ahsante kwa taarifa

You are welcome,naelekea msibani taarifa nitakujuza zaidi ingawa inatarajiwa kutajaa watu muhimu wa nchi hii kama shishi babe,le mutuz na macelebrities wengine wa maana ,ila nitajitahidi nilete info zaidi
 
Ahahaha ahah lakionaire? Umenivunja mbavu asieeh khaa, dharau izo binamu au hujui mie ndo mmilik wa NAf beach hotel ya mtwara? Shaur zako oooh

Basi Nkuu, mi kwa vile mwenedi ntwara, nakuchukulia kama ndugu kwa hiyo kama nimekukosea nisamehe! Lakini ulakionaire si mbaya kaka!
 
Hydar si ndio yule dogo mwenye hydary plaza Na Mali nyingi sana alizoruthishwa lk anaziendeleza vizuri? Naona kama wanafanana wasije kuwa ndugu? Kama Ndugu kweli hao ni Mabilionaire Wacha Lemutuz a Lick A.s.s zao....

wabongo nuksi majina tu kufanana ishakuwa ishu, haidery plaza ni ya Fidahussein bilionea wa ukweli. Tukiendelea hivi siku moja mtakuja sema Mlimani siti ni ya siti mtemvu :A S wink:
 
Kwanini niseme kitu nisichokijua?marehemu ni mdogo wake haidary kavira wana kampuni inaitwa globex inahusika na madini dar.hakuwa bilionea but alikuwa anapesa mingi sijasimuliwa nawafahamu.


Mtandao huu
Gold scams from Tanzania - 419 Scammers Exposed! ni mtandao wa watu kujadiliana wakishatapeliwa. Zinasema hivi:

"Every single Tanzania company with Internet offers of Gold in any form that have been posted here have been frauds, without exception."

More Tanzania gold scammers on Tradekey.

Fake PDF document, non-delivery gold scam
http://share.pdfonline.com/18959be30...20CONTRACT.htm
GLOBEX MINERAL LINE (TZ) CO Ltd
Plot No. 102 Block C, Chang'ombe Madukani, P.O.Box 6484 Dar es Salaam, Tanzania. Mobile: +255 718238169 - 255718238169
Email:
globexmineral@yahoo.com
Gold bars US $ 27 ,000 per kg
The BUYER bank shall pay the SELLER the goods being exported to the buyer's choice refinery. The value of the goods shall be: 70kg`s x $27,000

source: Gold scams from Tanzania - 419 Scammers Exposed!
cc: Heaven on Earth warumi Muuza Sura

BansenBurner hekimatele
 
Lemutuz tena, kampost insta anasema alikuwa kwenye gari lake la kifahari la benz, yani mtu kafa ye anawaza ufahari tu,mmh kama degree tatu ndo mtu unakuwa hvyo mimi sizitaki kabisa

Le Super Mogul Le gadem degree tatu with over 30 years experience mbelez, Manhattan Downtown New York u know...lol

Huyu jamaa ananifurahishaga sanaa. Dah
 
Le Super Mogul Le gadem degree tatu with over 30 years experience mbelez, Manhattan Downtown New York u know...lol

Huyu jamaa ananifurahishaga sanaa. Dah

"im very humbled thanks mingi! "
 
Bilionea mwenzetu ameenda dah! RIP Bilionea Jimmy
 
Wadada wa bongo movie na bongo music na wale famous Kama akina Penny, Linah, wema, jokate nk nk wote wanadai alikuwa mtu wao wa karibu ...sipati picha huko kwenye msiba hizo poda na lipstick...anyway RIP
 
Watu wamekazana RIP young brother, wengine naona wanatakiwa waseme RIP son au grandson mwe!
 
Back
Top Bottom