Duuu..ahsante kwa taarifa
Ahahaha ahah lakionaire? Umenivunja mbavu asieeh khaa, dharau izo binamu au hujui mie ndo mmilik wa NAf beach hotel ya mtwara? Shaur zako oooh
Hydar si ndio yule dogo mwenye hydary plaza Na Mali nyingi sana alizoruthishwa lk anaziendeleza vizuri? Naona kama wanafanana wasije kuwa ndugu? Kama Ndugu kweli hao ni Mabilionaire Wacha Lemutuz a Lick A.s.s zao....
Hydary shemeji yangu.
Yule anaye gombea Urais sio dada yake?
wabongo nuksi majina tu kufanana ishakuwa ishu, haidery plaza ni ya Fidahussein bilionea wa ukweli. Tukiendelea hivi siku moja mtakuja sema Mlimani siti ni ya siti mtemvu :A S wink:
Ni Mdogo kwa Le baharia!ndio ujue jamaa ni mental case
Kwanini niseme kitu nisichokijua?marehemu ni mdogo wake haidary kavira wana kampuni inaitwa globex inahusika na madini dar.hakuwa bilionea but alikuwa anapesa mingi sijasimuliwa nawafahamu.
Lemutuz tena, kampost insta anasema alikuwa kwenye gari lake la kifahari la benz, yani mtu kafa ye anawaza ufahari tu,mmh kama degree tatu ndo mtu unakuwa hvyo mimi sizitaki kabisa
Le Super Mogul Le gadem degree tatu with over 30 years experience mbelez, Manhattan Downtown New York u know...lol
Huyu jamaa ananifurahishaga sanaa. Dah
Ni Mdogo kwa Le baharia!ndio ujue jamaa ni mental case
Teh teh kwahiyo umbo tu ndio dogo ila ile ndude ni kubwa au??
Mfuko wake wa fweza ndo mpana lol
Mwenzangu miwan yote niliyoazima hainitoshi mwenzio, ila ntabeba ivo ivo
teh teh teh nilifikiri ana upeo mkubwa..
Nilikuwa najiuliza hio Benz niliwahi kuiona wapi?! Bado ile 2014 520i wasipokuwa makini nayo itaondoka na mtu.
RIP bilionea kijana Jimmy wa Arusha.
Poleni wafiwa, poleni Mabilionea wenzake wa Arusha .