Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Bongo huwaingii wadada na "upeo " unafungua tu bahasha ya kaki (maana hela ya madafu si unajua haitoshi Kwa wallet) ...

teh teh Dollar 200 ukiichange haikai kwenye wallet.. Nasikia yule Pro wao Price tag yake ni $400-500 tu
 
wabongo nuksi majina tu kufanana ishakuwa ishu, haidery plaza ni ya Fidahussein bilionea wa ukweli. Tukiendelea hivi siku moja mtakuja sema Mlimani siti ni ya siti mtemvu :A S wink:

Ahahaha et sit mtemvu, umetishaaa
 
Daah! Hiyo picha tajiri mtoto ameshika pesa utafikiri si tajiri bali mkulima aliyeshinda Jay Millions. Arusha ina kila aina ya matajiri kwa kweli. R.I.P tajiri mtoto.
 
Daah! Hiyo picha tajiri mtoto ameshika pesa utafikiri si tajiri bali mkulima aliyeshinda Jay Millions. Arusha ina kila aina ya matajiri kwa kweli. R.I.P tajiri mtoto.

Huyo bilionea wa bongo movie arachuga hatumjui.....tumezoea mabilionea wa mazao n tours
 
BMW za ukweli 22" rims.

Dogo hakuwa speed ujue wakat anapata iyo ajali, Lorry ndo lilifeli brake likamvaa. Walikutana kwnye junction. Dogo hakuweza ku-survive maana iyo lorry iligonga upande wake. Airbag zilitoka hadi milangoni lakini hazikusaidia.
 
Ndo iyo apo benz yake. Ilikua nzur kweli aiseee.
 

Attachments

  • 1434826876615.jpg
    67.5 KB · Views: 2,059
  • 1434826903249.jpg
    52.5 KB · Views: 764
  • 1434826929633.jpg
    71.2 KB · Views: 762
  • 1434826958310.jpg
    71.8 KB · Views: 756
hii sasa ndio shughuli iliyomfanya dogo apate umaarufu mjini na pesa za kuchezea.(GOLD SCAMS)
 
teh teh Dollar 200 ukiichange haikai kwenye wallet.. Nasikia yule Pro wao Price tag yake ni $400-500 tu
teh teh teh,is the item even worth that price?au ndio yaleyale ya kuoverate kila kitu in bongo
 
Dogo hakuwa speed ujue wakat anapata iyo ajali, Lorry ndo lilifeli brake likamvaa. Walikutana kwnye junction. Dogo hakuweza ku-survive maana iyo lorry iligonga upande wake. Airbag zilitoka hadi milangoni lakini hazikusaidia.

Junction ipi? ya mbezi Amsterdam au tegeta? Hiyo gari ipo kituo gani? ajali ilitokea saa ngapi? alikuwa peke yake?
 
teh teh teh,is the item even worth that price?au ndio yaleyale ya kuoverate kila kitu in bongo

Overrated.. Mtu ambaye ana worth that price tag ni Uwoya.. Nasikia yule ukimlipa hiyo pesa utatamani asubuhi uongeze tip teh teh teh
 
Overrated.. Mtu ambaye ana worth that price tag ni Uwoya.. Nasikia yule ukimlipa hiyo pesa utatamani asubuhi uongeze tip teh teh teh
hata naye yuko overrated,wataalam wanakuambia mgodi haufai umejaa maji na harufu.ndio maana umejipandisha bei ili wachache wasogelee hasa wazee ambao hawacomplain sana.no wonder vijana hawapigi kambi
 
hata naye yuko overrated,wataalam wanakuambia mgodi haufai umejaa maji na harufu.ndio maana umejipandisha bei ili wachache wasogelee hasa wazee ambao hawacomplain sana.no wonder vijana hawapigi kambi

teh teh teh source zangu za habari zilinipa habari za uongo basi.. yupi sasa anavalue that tag?? I mean at least..
 
Kwanini niseme kitu nisichokijua?marehemu ni mdogo wake haidary kavira wana kampuni inaitwa globex inahusika na madini dar.hakuwa bilionea but alikuwa anapesa mingi sijasimuliwa nawafahamu.

Hivi kumbe Marehemu ni mdogo wake kavira eti eeh ????
 
Wengine wanasma eti alikuwa anafanya biashara ya madini, ila nasikia ni pesa za urithi wa baba ake, halafu alikuwa ana roho nzuri mwenyewe, hakanaga ata maringo aseeh, rest in peace

Aliimba Mzee Zahiri wa enzi hizo....."Nimekubali yanayosemwa na watu...ni kweli...wanaopendwa na wengi siku zote hufa wangali vijana"

.....RIP JIMMY....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…