Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Ndo mtambue kuwa kifo huwa kipo, wote wale unaofanya nao chochote kile kila mtu anakufa kivyake
 
Ngoja kwanza tumalize huu mchakato wa kumuweka Lowassa madarakani.... Pole familia ya marehemu...
 
Ngoja ni-google kama huyu marehemu alishawahi kufahamiana na Lulu
 
Like seriusly tajiri mkubwa eti lemutuz duh,hizi blogu kweli uchwara
 

Attachments

  • 1434913064356.jpg
    66.1 KB · Views: 582
Umejitaidi kuelekea kwenye ukweli bwana mdogo lakini umeboronga mwishoni,..ngoja nikupe siri, No research, No Right to speak... Bado naendelea kuwackiliza bdae nitamaliza mjadala huu kwa kuwapa ukweli wa mambo, maana wengi wenu mnaonekana hamuwafahamu hawa wa2 vizuri
 
Mzee unakuwa kama huijui jamii forums. Humu wamejaa wapuuzi tu ambao anaanza kumuelezea mtu ambaye hajawahi kumuona au kumsikia maishani mwake. Kuna vichwa vimejaa wadudu humu balaa
 
Hii ni mahususi kwa wale wote ambao walikuwa na shauku kubwa ya kutaka kumjua 'Jimmy Mcmelle' ni mtu wa aina gani, maana nimepitia Comment nyingi za watu huku wengi wao wanaonekana wanafuata mkumbo na kuckia habari za chini ya Carpet.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…