Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Arusha kila mtu ni bilionea duh..ukweli pale kuna dhuluma kubwa sna watu pale wengi ni wadhulumaji hakuna cha bilionea wala nn
 
Arusha kila mtu ni bilionea duh..ukweli pale kuna dhuluma kubwa sna watu pale wengi ni wadhulumaji hakuna cha bilionea wala nn
Ulishasikia kesi ya mtu kalalamika kudhulumiwa? Huko Tanga wasiko na mabilionea mbona wanadhulu mpaka wajane? Arusha watu wanatafuta hela hata kwa kucheza na mavi halafu baadae wanaoga wanaenda kutumia hela Arusha hakuna chalii anaevaa hereni na kupaka poda, acha kudhalilisha watu kwa utafutaji wao.
 
Acha kudanganya watu huyu mtoto alifariki tangia mwaka juzi....na wala sio mtoto wa arusha....wana office ya upigaji wa dhahabu mikocheni yeye....baba yao na kaka yake marehemu. Ni kweli alifariki tegeta akiwa ametoka kwa demu wake ila si kama unavyopotosha hapa. Na hio helcopter wala si yake ni ya yule mhindi aliekua front kwa mzamiri ambae aliacha upigaji akaingia kwa bishara halali na kuzinunua 2
 
Thubutu yake....haidari kavila inasemekana alimuwekaga Bondi mdogo wake anaitwa Biden boss...yaani Mtoto wa Kaka yake haidairi kavila ili Jamaa speeder mambo fulani...
Alafu baada ya Jamaa kutoka Bondi alidhulumiwa na kvila hehehe....

Ova
Embu tuambie story ya huyu jamaa kiundani nimemuona Arusha leo asubuhi na wakati anatakiwa a'report kituoni leo huko Dar
 
Mjane gumashi yule...bilionea yuko wapi??? na wewe kweli unafanya snaaa za maigizo za ubillionea???? Acha utani bana
 
Acha kuhukumu ww
 
Upotoshaji upi sasa wakati uzi wenyewe ni wa mwaka juzi pia?
Ebu uwe unaangalia tar kabla ya kuropoka!
 
Embu tuambie story ya huyu jamaa kiundani nimemuona Arusha leo asubuhi na wakati anatakiwa a'report kituoni leo huko Dar
jamaa janja janja sana, kwahio ameshukia huko , alikuwa nje ya nchi naona amerudi huko JKIA panawaka moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…