Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

aaaah ngoja nipite tuu maana wananichanganya.!? wengine helcopter yake.?wengine ya sea cliff mara alikuwa shemeji yake wema,wengine arusha hakuna bilionea kama huyo...!? so ngoja ntoke ndukiiii tu hapa..
 
bilionea anakaa kwenye hiyo nyumba na hilo ndio gari lake?? eeh!!
 
Kifo cha huyu kijana mdogo (21) aliyekuwa milionare ,kimezua gumzo ya aina yake uko instagram siku ya leo. Hakika msiba wake umewateka watu wengi mno ikiwemo mastaa wa bongo movie na bongo fleva, baadhi ya mastaa walioguswa na msiba huo ni jokate, diva, ommy dimpoz,wema sepetu, martin kadinda, young dee, bob junior na mastaa wengine kibao bila kumsahau baba angu mdogo LEMUTUZ nae aliguswa kama kawaida yake.

Chanzo cha kifo chake inasemekana ni ajali ya gari aliyoipata uko maeneo ya mbezi beach akiwa ndani ya gari lake la kifahar aina Mercedes benz , R.I.P JIMMY japokuwa sikujui

MWENYE KUJUA WASIFU WA MAREHEMU PLEASEEEE ,maana sio kwa kuvunja rekodi kiasi kile, alikuwa anafanya ishu gani mpaka awe maarufu sana especially baada ya kifo chake? maana mbea mie apa nimefeli, matajir wenzie akina lemutuz mje mtupe wasifu wa marehemu. R.IP aiseh, umeenda ukiwa mdogo sana
 

Attachments

  • 1434742610904.jpg
    1434742610904.jpg
    33.1 KB · Views: 3,221
  • 1434742690241.jpg
    1434742690241.jpg
    81.8 KB · Views: 3,136
  • 1434742757849.jpg
    1434742757849.jpg
    72.1 KB · Views: 3,118
Halafu alikuwa ana jishughulisha na nini huyu?
 
Halafu alikuwa ana jishughulisha na nini huyu?

Wengine wanasma eti alikuwa anafanya biashara ya madini, ila nasikia ni pesa za urithi wa baba ake, halafu alikuwa ana roho nzuri mwenyewe, hakanaga ata maringo aseeh, rest in peace
 
Kila Mtu akiwa bilionea basi jua kuwa lemutuz rafiki yake..we tazama hicho kitoto lemutuz anavyokinyenyekea

AHahaha, sasa jaman huyo mtoto na lemutuz wapi na wapi? Mmh huyu lemutuz ana balaa aiseh
 
Ukiwa na hela halaf mdogo lazma bongo movie na bongo fleva wakusogelee. Huyu dogo ni maarufu xana na alikuwa anawindwa na wadada wa bongo movie. R.I.P Dogo
 
Wengine wanasma eti alikuwa anafanya biashara ya madini, ila nasikia ni pesa za urithi wa baba ake, halafu alikuwa ana roho nzuri mwenyewe, hakanaga ata maringo aseeh, rest in peace

Binamu wewe nae kwa fix eti hakanaga maringo kwani ulishawahi kukutana nae?
 
Back
Top Bottom