Young Dee achana na Tunda kalee mtoto wako

Wanawake wasiku hizi noma mkuuuu wanafikiria kuwa na maisha mazuri mpaka awatoley chupi wanaume otee
 
Sure yani wanakuwa na hasira za kwanini aonekane si chochote, hapo ndipo moto wa kusaka mafanikio huanzia nmewaona watoto wa namna hata shuleni wanakuwa super sana.

Hata mimi sikulelewa na baba na ilinipa hasira sana kusoma kwa bidii. Naomba Mungu na mwanangu aje asome na apambane na maisha mpaka baba ake ajute kutohusika na malezi ya mwanae. Kina baba Diamond walikua kama hao kina Young Dee
 
Kulea na usupar starr uchwara sio mchezo. DNA test ihusike ili tucomment bila upendeleo.
 
Kesho nampelekea pampas mama tamala, kama hatak kulea shilwadu tutamtunza, ila mtoto lazima awe mbea kama ss, ndo malipo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] aiseee
 
Kwa mara ya kwanza nakutana na thread ya tunda bila kuona jina la hance mtanashati
 
Hata mimi sikulelewa na baba na ilinipa hasira sana kusoma kwa bidii. Naomba Mungu na mwanangu aje asome na apambane na maisha mpaka baba ake ajute kutohusika na malezi ya mwanae. Kina baba Diamond walikua kama hao kina Young Dee
Muombee mtoto na uombee kizazi chako ili muivunje hiyo hali ya kukataliwa
Wakati mwingine ni roho zinakua zinafatilia uzao
 
Muombee mtoto na uombee kizazi chako ili muivunje hiyo hali ya kukataliwa
Wakati mwingine ni roho zinakua zinafatilia uzao
Ulikuwa mawazoni mwangu. Roho za kukataliwa zinamfatilia na kizazi chake. Asimame haswa azivunje
 
Huyu dogo nilikuwa na nyimbo zake kama tano hivi na nilikua namkubali sana lakin tangu nilivyomuona yule mzaz mwenza akilalamika ( nimefuta nyimbo zote na sitakaa nimsikilize kwa us.......nge wake )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…