Yoweri Museveni Rais wa Uganda amepiga marufuku Mitumba. Amesema ni Nguo zilizoachwa na Wafu wa Ulaya

Yoweri Museveni Rais wa Uganda amepiga marufuku Mitumba. Amesema ni Nguo zilizoachwa na Wafu wa Ulaya

Hii safi sana.

Nimelikemea hili na nimeliponda kwa miaka mingi sana.

Waafrika wote tupige marufuku mitumba yote. Ya nguo, ya magari, ya nafriji na kila kitu.

Ndipo tutakapoweza kufanya vyetu wenyewe.

Hapa namuunga mkono Museveni 100%.
Tatizo siyo kupinga. Tatizo ni uzalishaji, bei za bidhaa hizo na umasikini. Ndiyo inafanya nguo za mitumba hazina soko.
Uzalishaji ukiwa mkubwa watu hawatangaika na mitumba. Na pia maisha ya watu yakiboreshwa (kupunguza umasikini).
Hapa Tanzania kuna majiko ya gesi na umeme lkn kuna watu bado wanatumia mkaa na kuni. Unafikiri kwa nini?
Mtu na pesa zako unaweza kununua mtumba?
 
Maamuzi ya kukurupuka haya, that guy amefikia uwezo wake wa mwisho wa kufikiri soon atauona ugumu wa maamuzi yake
 
Hii safi sana.

Nimelikemea hili na nimeliponda kwa miaka mingi sana.

Waafrika wote tupige marufuku mitumba yote. Ya nguo, ya magari, ya nafriji na kila kitu.

Ndipo tutakapoweza kufanya vyetu wenyewe.

Hapa namuunga mkono Museveni 100%.
kwa mara ya kwanza naungana na wewe
 
Hii safi sana.

Nimelikemea hili na nimeliponda kwa miaka mingi sana.

Waafrika wote tupige marufuku mitumba yote. Ya nguo, ya magari, ya nafriji na kila kitu.

Ndipo tutakapoweza kufanya vyetu wenyewe.

Hapa namuunga mkono Museveni 100%.
Kwa utafiti wangu mdogo tu, Watanzania wanapenda mitumba sana. Sasa hiyo kuipiga marufuku ni kuwatesa wananchi tu.
 
Tuwachane na mitumba, wanatulemaza wanaotuuzia kafa ulaya.

"Necessity is the mother of invention".
Sasa mna uwezo wa kuvaa Brand new?Nguo za mitumba ni bora.Unaifua unaipiga pasi na zinadumu. Hizi nguo wala si za wafu. Kwani huko mbele si wanavaa nguo Winter,summer ,spring na automne. So wanavaa nguo kwa muda mfupi.As nguo ya summer hauwezi ivaa winter.
 
Ingeweza kukuza soko la ndani (viwanda vya ndani kama vingekuwepo na quality ingekuwa nzuri) Unless otherwise ni shortcut ya kuvaa midabwada....

Au sababu ya supply ndogo kuliko demand bei kuwa juu zaidi..., ukizingatia watu hawana disposable income ya hata zile basic need kubwa nyingine mbili (chakula na malazi) basi watakuwa hawana budi kutembea peku au viungo vingine vikichungulia...

By the way mitumba yote sio kwamba imetumika mingine ni ex-catalogue au rejects....; kitu ambacho hata samaki zile top quality huwa zinakwenda nje na nyingine grade B zinabaki soko la ndani....

Watunga sera wasipende shortcut..., tungeni sera za watu kupata disposable income..., vitu vya ndani viwe top quality basi watu wala hawatahitaji kuambiwa pa kununua....
 
Kwa nchi yetu ninakataa.Mitumba ni biashara .Watu wanaishi kwa kuuza mitumba. By the way kuvaa nguo iliyokuwa ya mbibi aliekufa kuna ubaya gani?
hii ni zaidi ya dharau tunafanyiwa anya way zipo nyingi zinakuja na maradhi na pia nyingine zimechoka sana kiasi hazifai kwa biashara tumekuwa dampo lao we unakubali?
 
Amewajibu wamarekani kwa vitendo, Kuna kipindi East Africa community walitaka kupiga marufuku marekani wakaja juu Ila baada ya kumwekea vikwazo Hana cha kuloose.
Yeye hana sababu ni mwizi na mrafi wa madaraka .........ila anawaumiza wengine bila sababu kwa sababu ya kiburi chake ..........sijui anadhani uraisi ni mpaka kifo chake?............ngoja aone joto lake sasa
 
Yeye hana sababu ni mwizi na mrafi wa madaraka .........ila anawaumiza wengine bila sababu kwa sababu ya kiburi chake ..........sijui anadhani uraisi ni mpaka kifo chake?............ngoja aone joto lake sasa
Mpumbavu yule Mseveni,li nchi lenyewe majority ni hohehahe. Bora angekuwa hata Rais wa Qatar hapo tungesema Yeees. Wananchi wapo njema.
 
Kweli umasikini unachnagia sana. Lakini mazoea pia huchangia.
Wakati mwingine tunanunua viatu vya mtumba (Kwa mfano) vinavyogharinu 40,000/- na zaidi ambayo ingetosha kununua viatu vipya dukani.
Ni kweli.
Kuna watanzania wangapi wanaweza kununua viatu vya 40,000?
Vya mtumba unaweza kupata hadi 10,000 sasa vya spesho?
Uzalishaji ukiwa mkubwa na bei ikawa rafiki. Mitumba inapotea
 
Sijui kama tutaweza hii kitu hapa kwetu maana,nguo used,simu used,magari used,nyumba used,Computer used,Tv used,vyombo used..
 
Back
Top Bottom