GM98
Member
- Dec 9, 2022
- 21
- 12
Akamuulize Mugabe kibano alichokipata kwa kujifanya mwamba. Akicheza watampeleka ahera fasta
kwahiyo aogope kufanya kitu kwa manufaa ya nchi yake? uoga wetu ndio umaskini wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akamuulize Mugabe kibano alichokipata kwa kujifanya mwamba. Akicheza watampeleka ahera fasta
Nawaza ajira za wangapi zinaenda kufa sababu ya kiburi cha mtu mmoja
Piga mahesabu ukitoa tamko kama hili vijana wangapi pale ilala,m/mmoja kkoo pekee wataathjrika
Sasa jymlisha ncgi nzima
Wakati ukitoa matamko huku umeshiba mkumbuke mwenye nhaa.
Tz haiwezi kupiga marufuku patachimbika[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.Na quality pia. Sio unanunua kiatu mwezi mmoja kimeisha.
We mtetezi tutavaa mitumba mpaja lini ?Ingeweza kukuza soko la ndani (viwanda vya ndani kama vingekuwepo na quality ingekuwa nzuri) Unless otherwise ni shortcut ya kuvaa midabwada....
Au sababu ya supply ndogo kuliko demand bei kuwa juu zaidi..., ukizingatia watu hawana disposable income ya hata zile basic need kubwa nyingine mbili (chakula na malazi) basi watakuwa hawana budi kutembea peku au viungo vingine vikichungulia...
By the way mitumba yote sio kwamba imetumika mingine ni ex-catalogue au rejects....; kitu ambacho hata samaki zile top quality huwa zinakwenda nje na nyingine grade B zinabaki soko la ndani....
Watunga sera wasipende shortcut..., tungeni sera za watu kupata disposable income..., vitu vya ndani viwe top quality basi watu wala hawatahitaji kuambiwa pa kununua....
Imagine wewe , ndo umepata uongozi sasa, bila shaka utatuludisha nyuma kwa hatua za mlevi.Ila mitumba inavalisha watu wengi xnaa na pia kutoa ajira kwa vijana wengi mno.sidhani kama ni busara kuifungia
Hao Africa Magharibi hayo mavazi wanavaa kwe occasions tu.Ila Mitumba kule ipo.We mtetezi tutavaa mitumba mpaja lini ?
Mbona Africa magharibi wanavaa mavazi yao ya kipekee na wamezoea.
Hata vazi la masai likiboreshwa ni zuri sana kama kichwani tutaondoa ukoloni.
Hizo nguo za wazungu sio midabwada?
Tuliweza kwenye rambo tukaja vufingashio.
Unakumbuka watu walivyobeza upigaji marufuku wa mifuko ya rambo .
Je leo mwaka wa ngapi tunaishi bila rambo?
Tukipiga marufuku mitumba kisha sekta ya nguo inajiinua yenyewe.
Utaona uwekezaji mkubwa wa wazawa na wageni.
Kutakuwa ba ubunifu mkubwa sana wa bidhaa za nguo.
Kwa ujumla tutakuwa tumepiga hatua mbele na si kurudi nyuma
Kuanza ni bora kuliko kutoanza kabisa.
Pamba yote tunayolima tunaishia kuvaa mitumba kweli ?
Unadhani ni sawa?
mchina kaleta vitu vipya kwa bei yako hata hizo tumeshindwa? yote kwa yote tunalima pamba na viwana tulikuwa navyo[kwa sasa vichache] kwanini tusiwekeze kwetu tuzalishe kwaajili yetu ziada tuuze.Hata huko majuu mitumba ipo.Si wote wanavaa Brand new.
Tatizo quality.Na wananchi ni masikini mno.mchina kaleta vitu vipya kwa bei yako hata hizo tumeshindwa? yote kwa yote tunalima pamba na viwana tulikuwa navyo[kwa sasa vichache] kwanini tusiwekeze kwetu tuzalishe kwaajili yetu ziada tuuze.
Na nchi hii imetawaliwa na CCM tangu tupate Uhuru. Waambie waache kuendeleza ukoloni mambo Leo.Kila siku naongea point, unanisoma kwa uoga tu.
Haya ya mitumba sijaanza kuyasema leo.
Sasa na sisi tupo kwenye kundi la watu wenye akili duniani ?Kwa utafiti wangu mdogo tu, Watanzania wanapenda mitumba sana. Sasa hiyo kuipiga marufuku ni kuwatesa wananchi tu.
Kwani sisi tuna ubia na uganda?Siku nyingi nchi za Afrika ya Mashariki zilikubaliana kupiga Marufuku mavazi ya mitumba lakini zikatishwa na vikwazo vya Marekani. Lakini mpaka sasa Rwanda na hivi karibuni Uganda zimejipiga kifua na kupiga marufuku mavazi ya mitumba. Njia pekee kwa nchi kukuza viwanda vyake na kutengeneza ajira ni kuzuia cheap imports kama mitumba. Hivyo ndivyo nchi zote duniani zilivyoendelea. Suala hili tumelipigia sana kelele humu.
Ni lini na sisi tutapiga marufuku mavazi ya mitumba?
Wakati kiwanda cha urafiki kilipouzwa ulikuwa wapi?Siku nyingi nchi za Afrika ya Mashariki zilikubaliana kupiga Marufuku mavazi ya mitumba lakini zikatishwa na vikwazo vya Marekani. Lakini mpaka sasa Rwanda na hivi karibuni Uganda zimejipiga kifua na kupiga marufuku mavazi ya mitumba. Njia pekee kwa nchi kukuza viwanda vyake na kutengeneza ajira ni kuzuia cheap imports kama mitumba. Hivyo ndivyo nchi zote duniani zilivyoendelea. Suala hili tumelipigia sana kelele humu.
Ni lini na sisi tutapiga marufuku mavazi ya mitumba?
Kama kawaida yetu tunaongelea vitu kwa upeo mfupi umeona nilochosema..., Unless Otherwise Viwanda vya ndani ambavyo havipo na quality yake leaves a lot to be desired itapelekea watu kuvaa midabwada (hii sio theory tu it happened hapo nyuma) kwahio sitetei mitumba ila mimi ni muumini wa bottom up approach anza kwanza vutia watu vitu vyako; quality na taste (kuna kipindi watu walipenda kuvaa mavitenge (though they were not cheap) watu wanavaa mitumba sio sababu tu imetoka nje bali quality na uniqueness..., Leo hii dada anauza nyanya kipato chake cha kuunga unga ila akienda mnadani anatoka na kupendeza hata Beyonce haoni ndani..., Kutokana na Economy of Scale ni ngumu kwa nguo ya ndani kushindana na price ya hio mitumba....(we are not there yet) Unaweza ukasema kwanini wanunue cheap na wasinunue za gharama (swali linakuja watu wako wana- sufficient income) ?We mtetezi tutavaa mitumba mpaja lini ?
Issue sio kuzoea tu issue / fashion ni taste na uniqueness hata huku kuna kipindi watu walikuwa wanavaa nguo saresare; au kule China kuna kipindi cha kufunga mikanda walikuwa wanavaa manguo yao fulani ya kufanana na viatu vya kamba za katani - lakini leo giving them a choice kila mtu anafanya anachofanya (To each their own)Mbona Africa magharibi wanavaa mavazi yao ya kipekee na wamezoea.
Kwani hata bila kuboreshwa ni baya na unaongelea vazi material au kufunga lubega (hio sio mmasai tu ni kabila nyingi tu) ila nakuuliza hilo vazi la mmasai wakiboresha unadhani litacost kiasi gani kwenye market value kwa viwanda vyetu hivi vinavyotegemea umeme wa Makamba ?Hata vazi la masai likiboreshwa ni zuri sana kama kichwani tutaondoa ukoloni.
Kumbe hujui midabwada ni nini midabwada ni viraka watu wanakosa pesa za kununua nguo hence wanashona na kuweka viraka..., mafundi viatu watarudi kushona viatu sababu ukinunua kimoja unakibembeleza kisiishe au wote kuvaa Bata na Bora / Sare Sare usiongelee Nike na Adidas au Puma hao wakija huku hakuna pesa (pesa zako za madafu kwao ni hasara)Hizo nguo za wazungu sio midabwada?
Unajua hata kabla ya Rambo na vifugashio tulikuwa tunaishi na mifuko ya karatasi (ila ukweli ndio huo hizo plastics ni cheaper) kwahio wakiacha rambo sio kwamba watu wanatumia mifuko mingine ambayo ni expensive ila inawafundisha Reuse (katika ile 3Rs)Tuliweza kwenye rambo tukaja vufingashio.
Nimekujibu hapo juu mifuko / plastics ni cheaper ndio maana imesambaa sana ila inaharibu mazingira balaa...., ndio maana hata ulaya wanataka kufanya hivyo Ni manufaa kwa mazingira ila ni kipigo kwa mifuko ya watu / PesaUnakumbuka watu walivyobeza upigaji marufuku wa mifuko ya rambo .
Je leo mwaka wa ngapi tunaishi bila rambo?
Usingoje mitumba ipigwe marufuku kuza sekta ya nguo za ndani zikiwa nzuri watu watanunua ni utamaduni..., Uganda watu wanapenda kuvaa nguo za kushona huku nguo za kushona sio kivile (pia quality ni mbovu unavaa nguo mara moja inapauka ikipigwa upepo) hio sio huku tu hata original za China unadhani kwanini kuna watu wanachukua kiatu dukani wanasugua soli chini ionekane ni mtumba, ili wakuuzie kama mtumba ?Tukipiga marufuku mitumba kisha sekta ya nguo inajiinua yenyewe.
Mgeni aje awekeze ili alipwe nini wakati watu wamepigika ? Hivi ushajiuliza kwanini wawekezaji wengi wa vitu ambavyo ni fashion hawaji kuwekeza huku ? Jibu watu hawana buying power.....Utaona uwekezaji mkubwa wa wazawa na wageni.
Huo ubunifu unasubiri nini . Si wabuni waende kuwauzia diaspora waliopo ulaya ?Kutakuwa ba ubunifu mkubwa sana wa bidhaa za nguo.
Anza ila kuanza sio kwa kupiga siasa anza kwa kuzalisha quality kutoka viwanda vya ndani promote nguo zako ili kina mama Aisha na Mwajuma na Neema wapende kuvaa kitu kutoka Mwatex na sio Mombasa hio ndio njia sahihi sio kulazimisha watuKwa ujumla tutakuwa tumepiga hatua mbele na si kurudi nyuma
Kuanza ni bora kuliko kutoanza kabisa.
Unadhani hio pamba yako ukishamaliza kuitengeneza na kuwa-refined kwa umeme huu wa Makamba na ukatoa nguo itakuwa bei gani ? Ushajiuliza kwanini kuna vitu vinatoka ulaya vinakuwa na bei ndogo kuliko vitu vya ndani ? Jibu ni Economy of Scale - Pile it High.., Sell it Cheap.......; Na kama soko lako ni la kuokoteleza volume unazotoa hazitafanya bei iwe chini - Anza kidogo waambie watoto wa shule, wanajeshi n.k. wavae nguo made in Tanzania (ila utashangaa mzazi itabidi atoe mara tatu ya bei aliyokuwa anatoa jana)Pamba yote tunayolima tunaishia kuvaa mitumba kweli ?
Unadhani ni sawa?
Kuvaa nguo za wafu zinazoweza kuwa na magonjwa siyo upumbavu, ila kiwanda imaginary cha wachochea kuni wanaolipwa 60K!!!!? Watu wako nchi hii!!?Tutavaa nini? Hivyo viwanda vya kukuzwa viko wapi?
Si mliua Urafiki, Kilitex, Mwatex n.k mkawaachia Wahindi waje na Sunflag na A-Z na watumwa huko viwandani wa kuchanganya rangi na kuchochea moto ni watoto wenu walipwe elfu 60 kwa mwezi
Watu weusi wana Upumbavu sana
Na pengine mitumba ndiyo sababu kubwa kwa kiwanda cha urafiki na vingine vya nguo kushindwa kujiendesha na kuishia kuuzwa.Wakati kiwanda cha urafiki kilipouzwa ulikuwa wapi?
Mitumba haiwezi kupigwa marufuku ndugu, unataka watz wanyonge watembee uchi?
EAC tulikubaliana hili.Kwani sisi tuna ubia na uganda?
Uanda na Rwanda wanyonge wanatembea uchi ?Mitumba haiwezi kupigwa marufuku ndugu, unataka watz wanyonge watembee uchi?