Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

Yoweri Museveni: Sudan haitawaliki sababu Al Bashir alichagua Sudan yenye mrengo wa kidini kuliko Sudan ya wote

Misuse of Identity is a true transforming and spreading pandemic for Africa
 
Misuse of Identity is a true transforming and spreading pandemic for Africa
 
Kwani yeye Al-Bashir ni Mwafrika au Mwarabu ?

Kuna Dini ukiingia inabidi uiingie mazima hakuna kutoka wala kutumia akili zako binafsi.

Unabidi ufanye tu kile alichosema mtu fulani huko mbali.
Nilifikiri unasema chama tawala 😄
 
muungano ukivunjika soon zanziba itakuwa dola la kiislam, sultan atarudi kuja kuendeleza usultani. Hiyo bendera yao itabadilishwa kuondoa ile ya muungano ndani yake. Siasa za zanzibar zitakuwa vululuvululu, yatatimia yaliyonenwa na nabii mwenye heri nyerere
Naona unarudia maneno ya Lukuvi
Hapo ndio mwisho wa kufikiri
 
Halafu waarabu wenyewe hawakereki tunakereka sisi huku waTz.
Hakuna watu wanawabagua kama warabu nenda siku uarabuni utaona
Kama wangekua hawakereki wasingebagua waafrika
Hapa hapa Tanzania kuna familia za kiarabu wewe mwafrika na muislamu huwezi muoa binti yao
 
Democracy ni ujinga ambao hauna faida kabisa , ndio chanzo cha umaskini wa Africa....Wafalme pamoja na mapungufu yao ila wanakuwa kama wazazi wanalelea nchi ndio maana hata zamani hizi kingdom ilikuwa wana utaratibu mzuri.
Kwa hiyo nyerere angekua mfalme na watoto wake wakina makongoro wangekua maprince
 
Sema kuna maboksi yatakuja kuprove right kwa sababu ya uislamu umetajwa,,,,, achana na Sudan vipi Afrika ya kati yenye utambulisho wa kikristo kuna nini kinaendelea.

Mkiweka chuki za kidini kwenye jamii na hata kwenye maendeleo ya nchi basi sahauni kuhusu kuendelea kwa sababu kuna upinzani utajitokeza ili kuzuia juhudi za wengine kwa njia yoyote ile mfano suala la bandari na mengineyo.
 
Sema kuna maboksi yatakuja kuprove right kwa sababu ya uislamu umetajwa,,,,, achana na Sudan vipi Afrika ya kati yenye utambulisho wa kikristo kuna nini kinaendelea.

Mkiweka chuki za kidini kwenye jamii na hata kwenye maendeleo ya nchi basi sahauni kuhusu kuendelea kwa sababu kuna upinzani utajitokeza ili kuzuia juhudi za wengine kwa njia yoyote ile mfano suala la bandari na mengineyo.
Africa ya kati kikundi cha waislamu seleka kilivyoshika madaraka kilianza kuwatesa wakristo walio wengi nini kilitokea wakristo waliunda ant balaka na kuwaondoa seleka madarakani ila mpaka leo hakuna amani tena
 
Kama tunawaza hivi kuwa watarudi basi hatujiamini na kuwaza kuwa watumwa tena
unachobishia ni nini? Zanzibar bado ni changa sana haiwezi kuhimili upinzani wa wao kwa wao lazima ccm inende na maji kule. Tunaposema usultan hatumaanishi ule usultan kabla ya mapinduzi. Ni usultan katika zama mpya za kidemokrasia. Ulishawahi kuona siasa za CUF enzi za maalim seif kabla ya kuhamia ACT? Masalia ya usultan yangalipo hadi leo katika siasa za zanzibar. Masultan yana uchungu wa kupinduliwa serikali yao na wanapambania kuirudisha kwa sura nyingine ya kidemokrasia unayoiona sasa. Wana vyama vyao, ZPPP/ZNP bado ipo, ipo kwa jina jingine, chupa mpya mvinyo uleule. Itisha uchaguzi mkuu, weka sanduku la kura, matokeo utayaona. Pemba unaijua au unaisikia? Kule ccm haijulikani kwa wale waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba vyao
 
unachobishia ni nini? Zanzibar bado ni changa sana haiwezi kuhimili upinzani wa wao kwa wao lazima ccm inende na maji kule. Tunaposema usultan hatumaanishi ule usultan kabla ya mapinduzi. Ni usultan katika zama mpya za kidemokrasia. Ulishawahi kuona siasa za CUF enzi za maalim seif kabla ya kuhamia ACT? Masalia ya usultan yangalipo hadi leo katika siasa za zanzibar. Masultan yana uchungu wa kupinduliwa serikali yao na wanapambania kuirudisha kwa sura nyingine ya kidemokrasia unayoiona sasa. Wana vyama vyao, ZPPP/ZNP bado ipo, ipo kwa jina jingine, chupa mpya mvinyo uleule. Itisha uchaguzi mkuu, weka sanduku la kura, matokeo utayaona. Pemba unaijua au unaisikia? Kule ccm haijulikani kwa wale waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba vyao
Hicho chama tawala ni Usultani tosha
Miaka zaidi ya 60 wametufikisha wapi
Ipigwe kura kama ya Scotland labda tutajua asilimia ngapi wanachotaka ni nini, la sivyo tutaongea tu

Mchina anajenga artificial islands yaani leo inabidi tuende na wakati wa sasa
Ipo siku ataomba atengeneze kisiwa Africa na kwa tamaa za wanasiasa watakubali tu

Tuongee facts bila ubaguzi wowote hao waliopo hapo ni wazawa kama wewe
 
Africa ya kati kikundi cha waislamu seleka kilivyoshika madaraka kilianza kuwatesa wakristo walio wengi nini kilitokea wakristo waliunda ant balaka na kuwaondoa seleka madarakani ila mpaka leo hakuna amani tena
Na Afrika magharibi je???
 
Katika Hotuba ya Museveni amejaribu kuelezea matatizo yanayoikumba Afrika lakini pia kaelezea mgogoro wa Sudan akidai Katitka Mikutano ya mapatanisho kati ya waasi wa sudani kusini na sudan kaskazini Al Bashir aliambiwa achague kati ya Kuifanya Sudan ni ya wasudani wote (isiyo ongozwa kidini, isiyo ya waarabu tu ya watu wote) au Kuwaacha wasudan kusini ambao walikua si waislam, waafrika.

Lakini yeye alichagua Sudan ya kiislam iwe nchi inayongozwa kwa sheria za kidini, na yenye utambuzi wa kiarabu hivo aliruhusu wasudan kusini wajitenge kuliko kufanya sudani ya wote.

Leo hii sudan haitawaliki imekua failed state.

alikuwa mjinga sana, anasema sudan ni nchi ya kiarabu wakati yeye mwenyewe sio mwarabu, ni mchanganyiko wa wabantu fulani hivi na kwa mbaaaali vinukta vya DNA ya kiarabu ila ni mwafrika mweusi tu. huwa nawaonea huruma sana watoto wa mama wa kambo, huwa wanatamani Mungu angewaumba waarabu lakini bahati mbaya ndio ilikuwa hivyo tena, ni wabantu wenzetu.
 
Back
Top Bottom