Yu wapi Hawa Ghasia? Mwanamke mwenye tashtiti kama zote

Yu wapi Hawa Ghasia? Mwanamke mwenye tashtiti kama zote

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana: Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo

Lkn linapokuja suala la ukifutu, tambo na nyodo, Hawa Ghasia alikuwa sawa na Makonda. Alijivika ukubwa usiomithilika. Hakumsheshimu waziri mkuu mhe Pinda wala waziri yeyote yule.

Za chini chini zinadai kwamba hii ndiyo sabab ngosha alipopata kiti kikubwa alimsulubu sana Ghasia. Kwasabb Ghasia alimsonya mara nyingi tu huyu ngosha akiwa waziri.

Anyway, nauliza tu. Yu wapi mwanamke huyu kwa sasa?
 
Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Alikwaruzana na aliyelala mazima Chato na akapigwa 'Pini' moja ya maana kwa Ushirikiano wa 'System' ya Mpare wa Mwanga na kuanza Kupotea kama si Kusahaulika, ila kwa jinsi 'Mama' anavyowakumbuka waliotupwa huenda hata huyu nae Siku si nyingi akala 'Shavu' katika Taasisi au hata huko huko Serikalini pia.
 
Alikwaruzana na aliyelala mazima Chato na akapigwa 'Pini' moja ya maana kwa Ushirikiano wa 'System' ya Mpare wa Mwanga na kuanza Kupotea kama si Kusahaulika, ila kwa jinsi 'Mama' anavyowakumbuka waliotupwa huenda hata huyu nae Siku si nyingi akala 'Shavu' katika Taasisi au hata huko huko Serikalini pia.
Wanadai alivyokuwa wazir awamya 4 dereva wake alikuwa anatatuamarinda hubby alivyokuwa India
 
Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Huyu Waziri nakumbuka kioindi hicho anaend Mangowera Mtwara kwa mganga wake akiitwa Mzee Mkulima! Kamlaza sana chini.
 
Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Bila picha huu uzi haunogi
 
4yiu-c7yXiqBBij-5WS7N0sB6tjSeQAJwvnnbU1umcs1qYaSoiisNksyDCAkDl7UD7ZvxcCl0SMwOW2ovg2MrzFH_g5Y4CzoguD3jSFud5Si1wDNCL85XFY2fVUH=s0-d
5cf3b5ba09-index.jpg
huyo ndo Hawa mwenye Ghasia dume la nyani toka Ntwara mwanangu
 
Back
Top Bottom