Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kipindi cha Ngosha alikuwa anasonywa na nani?Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana: Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo
Lkn linapokuja suala la ukifutu, tambo na nyodo, Hawa Ghasia alikuwa sawa na Makonda. Alijivika ukubwa usiomithilika. Hakumsheshimu waziri mkuu mhe Pinda wala waziri yeyote yule.
Za chini chini zinadai kwamba hii ndiyo sabab ngosha alipopata kiti kikubwa alimsulubu sana Ghasia. Kwasabb Ghasia alimsonya mara nyingi tu huyu ngosha akiwa waziri.
Anyway, nauliza tu. Yu wapi mwanamke huyu kwa sasa?
Hivyo ndio inatakiwa ili watu waanze kuheshimiana toka huna chochoteJiwe alikomoa hata wale aliogombana nao shule ya msingi , alikuwa mtu wa ajabu sana !
Na yale mashavu yake kama anapuliza moto, kipindi cha vuguvugu la gesi haitoki alichomewa moto sana nyumba zake Mtwara mjini
Kumbe Mama anaujasiri uliowashinda akija Nappe walioenda kuomba radhi na jua kaliHawa Ghasia ni mtu mwenye msimamo thabet uwe msimamo huo ni sahihi au laa!
Tabia hii karithi kwa Marehem Mzee wake
Waliosoma nae Mzumbe watakueleza heka heka zake tangu akiwa Huko, mliomjua kuanzia awamu ya Nne mnaweza mkadhan tabia hiyo kaanzia wakati wa JK
Huyu alikosoa hata Utawala wa JPM tena kaukosoa Bungeni na hakuwahi kupiga magoti hadi akapotezewa Ubunge
Kwny NEC alipasuka kweli kweli mbele ya wasiotegemewa kukosolewa uso kwa uso
Eeeeh iyo Ntwara hiyo kipindi cha uchaguziDuuh
ujasiri wa kupigwa chale za mat@ko kwa mganga wa kienyeji au?Hawa Ghasia ni mtu mwenye msimamo thabet uwe msimamo huo ni sahihi au laa!
Tabia hii karithi kwa Marehem Mzee wake
Waliosoma nae Mzumbe watakueleza heka heka zake tangu akiwa Huko, mliomjua kuanzia awamu ya Nne mnaweza mkadhan tabia hiyo kaanzia wakati wa JK
Huyu alikosoa hata Utawala wa JPM tena kaukosoa Bungeni na hakuwahi kupiga magoti hadi akapotezewa Ubunge
Kwny NEC alipasuka kweli kweli mbele ya wasiotegemewa kukosolewa uso kwa uso
Shavu lipi linalompumbaza huyo mwamba???Wew shavu lile ndo linakupumbaza mkuu duhh
Shavu lipi linalompumbaza huyo mwamba???
UNauliza yule mwenye sura yenye pua panaaa! Havutii usoni na elimu ni duni sana! Kichwani ni boga.Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana: Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo
Lkn linapokuja suala la ukifutu, tambo na nyodo, Hawa Ghasia alikuwa sawa na Makonda. Alijivika ukubwa usiomithilika. Hakumsheshimu waziri mkuu mhe Pinda wala waziri yeyote yule.
Za chini chini zinadai kwamba hii ndiyo sabab ngosha alipopata kiti kikubwa alimsulubu sana Ghasia. Kwasabb Ghasia alimsonya mara nyingi tu huyu ngosha akiwa waziri.
Anyway, nauliza tu. Yu wapi mwanamke huyu kwa sasa?
Ila hiyo pua!! Dah!
huyo ndo Hawa mwenye Ghasia dume la nyani toka Ntwara mwanangu![]()
Kwakweli pua yake, sura na kichwa vimekaa vibayaUNauliza yule mwenye sura yenye pua panaaa! Havutii usoni na elimu ni duni sana! Kichwani ni boga.
Huyu mwanamama alikuwa mnyama na nusuHii nchi ina watu wa ajabu sana!
Shikamoo mtaalamu wa DawasaKipindi cha Ngosha alikua mwenyekiti wa kamati ya Bunge sijui ya nini huko,aliisema vibaya Gavoo ya stone kwenye kamati,Ngosha akasema wajiuzuru nafasi zao! Then wakafata kina Vicky Kamata na mwenzake Dalali Peter Kafumu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Alikuwa mtu mzima lakini amejaa utotoJiwe alikomoa hata wale aliogombana nao shule ya msingi , alikuwa mtu wa ajabu sana !
Muulize Nape ubabe wake wote alienda kupiga magoti ikulu.Hadi utotoni kama ulimtwanga ngumi mkiwa darasa la sita akikumbuka anachomoa wire wa battery.