Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Huyo ni public figure, ni lazima auliziwe. Hakuna aliyemlazimisha kuwa kiongozi.
She was one, not now. Out of sight out of mind. Case closed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni public figure, ni lazima auliziwe. Hakuna aliyemlazimisha kuwa kiongozi.
Hakuna Cha kuwa out au in, ikiwa alikuwa kiongozi ni LAZIMA auliziwe. Aasingekuwa kuwa kiongozi hakuna mtu ambae angemjuaShe was one, not now. Out of sight out of mind. Case closed.
Aasingekuwa kuwa kiongozi hakuna mtu ambae angemjua
Hawa mtoto wa Ghasia?hata huwa sipendi kulisikia hili jina, alikuwa ni ghasia haswa, natamani apotelee huko huko, alijipa uungu mtu enzi zake, lNikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana: Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo
Lkn linapokuja suala la ukifutu, tambo na nyodo, Hawa Ghasia alikuwa sawa na Makonda. Alijivika ukubwa usiomithilika. Hakumsheshimu waziri mkuu mhe Pinda wala waziri yeyote yule.
Za chini chini zinadai kwamba hii ndiyo sabab ngosha alipopata kiti kikubwa alimsulubu sana Ghasia. Kwasabb Ghasia alimsonya mara nyingi tu huyu ngosha akiwa waziri.
Anyway, nauliza tu. Yu wapi mwanamke huyu kwa sasa?
She was a saddist and many people suffered because of her na alikuwa na udini komesha pale utumishi yeye na Makonda/ sabaya ni sawa tu Kwa matendo maovu.Hawa mtoto wa Ghasia?hata huwa sipendi kulisikia hili jina, alikuwa ni ghasia haswa, natamani apotelee huko huko, alijipa uungu mtu enzi zake, l
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
ila mzuri kweli kweli, ana bonge la shape hasa, na ana kila kitu kinachofaa aitwe mwanamke..
Beauty is relative bhana,me namwona ka malimau mbona
Wew shavu lile ndo linakupumbaza mkuu duhhutakuwa unamwangalia kwa wasiwasi, au.labda zile nguo zake za kujistiri zinafanya usimwone vzuri..
tulia, kunywa maji halafu mwangalie vzur
kwenye shavu hujaona dimpoz akitabasamu au?Wew shavu lile ndo linakupumbaza mkuu duhh
kwenye shavu hujaona dimpoz akitabasamu au?
basi sawa mkuu, kwahiyo kwa mwono wangu na wengine niwajuao tunamjua kama mrembo sanaNdo maana nimesema beauty is relative,wew unamwona mzuri lakini kwa mwingine anamwona wa kawaida sana, ni hivyo tu kiongozi
basi sawa mkuu, kwahiyo kwa mwono wangu na wengine niwajuao tunamjua kama mrembo sana
Huna bundles utupe connections??Huyu Waziri nakumbuka kioindi hicho anaend Mangowera Mtwara kwa mganga wake akiitwa Mzee Mkulima! Kamlaza sana chini.
Hahaha[emoji23]Jiwe alikomoa hata wale aliogombana nao shule ya msingi , alikuwa mtu wa ajabu sana !
Duuh!She was a saddist and many people suffered because of her na alikuwa na udini komesha pale utumishi yeye na Makonda/ sabaya ni sawa tu Kwa matendo maovu.
DuuhHuyu Waziri nakumbuka kioindi hicho anaend Mangowera Mtwara kwa mganga wake akiitwa Mzee Mkulima! Kamlaza sana chini.
heeee.......shangingi wa nani?Yuko ntwara akifanya ghasia ambazo hazina kiki mwana hizaya huyu mjalaana shangingi wa Kikwete