Alikuwa pia ni digara (tajiri) wa kununua korosho kwa kangomba huko kusini.Mama alipiga hela za TAMISEMI huyo, ila sijuhi wakiiba wanazipeleka wapi maana muda mfupi utawaona wanalamba miguu y a watawala kama akina Wassira.
Alikwaruzana na aliyelala mazima Chato na akapigwa 'Pini' moja ya maana kwa Ushirikiano wa 'System' ya Mpare wa Mwanga na kuanza Kupotea kama si Kusahaulika, ila kwa jinsi 'Mama' anavyowakumbuka waliotupwa huenda hata huyu nae Siku si nyingi akala 'Shavu' katika Taasisi au hata huko huko Serikalini pia.Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Wanadai alivyokuwa wazir awamya 4 dereva wake alikuwa anatatuamarinda hubby alivyokuwa IndiaAlikwaruzana na aliyelala mazima Chato na akapigwa 'Pini' moja ya maana kwa Ushirikiano wa 'System' ya Mpare wa Mwanga na kuanza Kupotea kama si Kusahaulika, ila kwa jinsi 'Mama' anavyowakumbuka waliotupwa huenda hata huyu nae Siku si nyingi akala 'Shavu' katika Taasisi au hata huko huko Serikalini pia.
Huyu Waziri nakumbuka kioindi hicho anaend Mangowera Mtwara kwa mganga wake akiitwa Mzee Mkulima! Kamlaza sana chini.Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Bila picha huu uzi haunogiNikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Yuko ntwara akifanya ghasia ambazo hazina kiki mwana hizaya huyu mjalaana shangingi wa KikweteNikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Jiwe alikomoa hata wale aliogombana nao shule ya msingi , alikuwa mtu wa ajabu sana !Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana:- Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo...
Hakika alitikisa viongozi wa wakati huo.huyo ndo Hawa mwenye Ghasia dume la nyani toka Ntwara mwanangu
Anyway, nauliza tu. Yu wapi mwanamke huyu kwa sasa?
Watanzania sote ni nduguHilo swali hasa ndilo lilikuwa msingi wa mada yako; jibu ni simple tu, "wewe unamtakia nini mke wa mtu ??!!"
Huyo ni public figure, ni lazima auliziwe. Hakuna aliyemlazimisha kuwa kiongozi.Hilo swali hasa ndilo lilikuwa msingi wa mada yako; jibu ni simple tu, "wewe unamtakia nini mke wa mtu ??!!"
Jiwe alikomoa hata wale aliogombana nao shule ya msingi , alikuwa mtu wa ajabu sana !
Huyu Baba Ake alikuwa msoma vitabu vya masala ya Nyota