Yu wapi Hawa Ghasia? Mwanamke mwenye tashtiti kama zote

Kwahiyo umetumwa na huyo hawa..ili jina lake lianze kusikika masikioni mwa watawara ili ale teuzi ama?.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wahuni na malaya wa kisiasa hawakumalizwa. Yani naelewa kwaninj viongozi makini kama nyerere na magufuli walikuwa wanaonekana wanaroho mbaya kazi ya kuleta maendeleo kwa jamii iliyoharibika lazima uwe mtu wa kutoa kibano kwa wahuni. Kuna siku wahuni watapungua na sheria itafutwa ila kwa awaku hii tumerudi mwaka 2005-2015
 
Kwisha habari yake yeye na yule Dendego alikuaga mkuu wa mkoa huko kusini, kila watu wana zama zao na wanasema kutesa kwa zamu sasahivi ni zamu ya wakwe kina mchengerwa
 
Nami 2030 najiunga na timu urais! 2024 naenda mastaz kwanza.
 
Mwisho wake hujui anaujua Allah ila kwa sasa karudi kwny biashara yake ya korosho bila ya vitisho vya Kupigwa Wazazi wake, 'Mgogoro wa Dangote' wameumaliza na waliokuwa wanauchochea wamefungashiwa virago warudi kwao…najua hapo hutonielewa ila elewa hivyo hivyo tu
Halafu mwishowe wake ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…