Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuna wakati huyu dada alikuwa maarufu sana kwenye tasnia ya Habari Tanzania. Sijui kwa kipindi hiki cha "hapa kazi tu" anafanya hiyo kazi kwenye chombo gani cha habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ya wapi hiyo!?Yuko dira TV
Na kule hakuna neti weki.Ufo Saro kwa sasa kaenda kuhesabiwa anarudi January 4.
Ndio huyo huyo.Huyo si alinusurikaga kuuwawa? Au nimechanganya madesa?
TBC inapigiwa promo??Sisi wengine tumepigwa ban kwenye nchi yetu ya kuangalia baadhi ya channel hata hatujui kama alishaondoka ITV.
Nnapenda kujua muafaka wa vingamuzi vilivyozuiliwa utakuaje au upoje kwa sasa.?
Dah! Mkuu umenikumbusha jambo la kuumiza nilinunua DSTV miezi 2 tu ikapigwa ban natamani dish zao kukaangia samaki sasa Tbc1 tu na Bongo movieSisi wengine tumepigwa ban kwenye nchi yetu ya kuangalia baadhi ya channel hata hatujui kama alishaondoka ITV.
Nnapenda kujua muafaka wa vingamuzi vilivyozuiliwa utakuaje au upoje kwa sasa.?
Mbona kama sijakuelewaDah! Mkuu umenikumbusha jambo la kuumiza nilinunua DSTV miezi 2 tu ikapigwa ban natamani dish zao kukaangia samaki sasa Tbc1 tu na Bongo movie
Heri ya krismasMbona kama sijakuelewa
U too dear...Mambo?Heri ya krismas
Asante, poa niko salama nashukuruU too dear...Mambo?
Channel namba ngapi kwenye ving'amuzi vya dishSasa hivi anafanyia kazi DIRA TV ipo kwenye king'amuzi cha startimes, saa1 jion/usiku huwa anaripot habari.
Siangaliagi kile wanachoita "local channels" naangaliaga CNN..BBC...NATIONAL GEOFRAPHIC NA ZINGINEZO.Sisi wengine tumepigwa ban kwenye nchi yetu ya kuangalia baadhi ya channel hata hatujui kama alishaondoka ITV.
Nnapenda kujua muafaka wa vingamuzi vilivyozuiliwa utakuaje au upoje kwa sasa.?