hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Ndiye yeyeHuyo si alinusurikaga kuuwawa? Au nimechanganya madesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye yeyeHuyo si alinusurikaga kuuwawa? Au nimechanganya madesa?
Ndiye mwenyewe!!Huyo si alinusurikaga kuuwawa? Au nimechanganya madesa?
Halafu ukilishwa matango pori ya JF una panic, muhimu kuangalia hata habari za mauzinduzi TBC uone capital expenditure inayotumika nchini.Siangaliagi kile wanachoita "local channels" naangaliaga CNN..BBC...NATIONAL GEOFRAPHIC NA ZINGINEZO.
Sina haja na siasa za nchini!! (Niliacha kufuatilia siasa baada ya Lissu kupigwa risasi) nasubiri vita tu nifanye kazi yangu.Halafu ukilishwa matango pori ya JF una panic ,muhimu kuangalia hata habari za mauzinduzi TBC uone capital expenditure inayotumika nchini.
[emoji23 ][emoji23] [emoji23] [emoji23]Sina haja na siasa za nchini!! (Niliacha kufuatilia siasa baada ya lisu kupigwa risasi) nasubiri vita tu nifanye kazi yangu.
Dah! Mkuu umenikumbusha jambo la kuumiza nilinunua DSTV miezi 2 tu ikapigwa ban natamani dish zao kukaangia samaki sasa Tbc1 tu na Bongo movie
Huyo si alinusurikaga kuuwawa? Au nimechanganya madesa?
King'amuzi cha antena chaneli namba 124Channel namba ngapi kwenye ving'amuzi vya dish
Wanakimbia wenyewe ama kufukuzwa mkuu?IPP Media wanakimbia sana!!
-Ritta Chiwalo nahisi yupo 98.1 Wapo FM,Chance yake kaichukua Mariam Kitosi.
-Shabban Luppa sijui kakimbilia wapi naona chance yake kachukua Charles.
Itakuwa wanasepa wenyewe.wanakimbia wenyewe ama kufukuzwa mkuu?
Basi sawaItakuwa wanasepa wenyewe.
Dah! Mkuu umenikumbusha jambo la kuumiza nilinunua DSTV miezi 2 tu ikapigwa ban natamani dish zao kukaangia samaki sasa Tbc1 tu na Bongo movie
Piga chini tumia dish za zaman bure no stress!
Tunarudi kulekule