Yu wapi Mwisho Mwampamba?

Mwisho hakuwa na pesa ila alikuwa maarufu tu baada ya kushika nafasi ya 2 BBA, ule umaarufu ndo alipaswa kuutumia ili afanikiwe na badala yake mademu wa kibongo wakamlostisha akawa mlevi na asokuwa na direction, makampuni na media vikamuona mpuudhi, nae akajiongeza badala ya kukomaa kuombaomba bia kwenye bar za mjini akarudi home kutafuta mali kwa njia ya shamba kitu ambacho alipaswa apongezwe na sio kubezwa! Wengi hawana hyo gut ya kukubali kushindwa na kuamua kujipanga upya.
 
Baba yake alikuepo ni professor wa SUA alinifundisha farm mechanisation
 
Mtela Mwampamba yuko TAASISI YA ELIMU. Yupo hai, mzima wa afya. Jana jioni nimechat naye sasa sijui amefariki lini?
Kwa hiyo bado yuko mjini hapo hapo hakupelekwa huko kijijini ambako iliagizwa apelekwe....basi jamaa atakuwa kitengo huyu.
 
Pia anakuwa Arusha Sana na shombeshombe mmoja anaitwaga balletto. Hiki kipindi Cha corona wazungu wamepungua ndo huwakuti kwenye clubs. Madem washamba BADO wanawapaparikia Sana wakitatizwa na rango yao[emoji851][emoji851][emoji851]

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Mmh hadi leo yupo kwa wazazi? Au ndio ye nani hadi ahame kwao wakati mwokozi mwenyewe hadi leo nae anaishi Mbinguni kwa baba yake

Ndugu yangu mbona unatumia kauli ambazo sio sahihi kabsaa,uwa mnalipwa bei Gani kuandika ujinga wa kiasi hiki,na ukaa nyumbani ukawa unawaza harakati zako na huu ujinga uwa unaona unakupa hatua yyte?
 
Kwa hakika kabisa, Mwisho Mwampamba hakuwahi kushinda pesa za BBA. Alikuwa mshindi wa pili tu. Na kwa wakati huo, mshindi wa pili hakuwa anapewa pesa ya zawadi.

Mkuu hacha sound,huyu jamaa alishinda kiasi cha fedha,akaja town kwa mbwembwe nyingi na kula maisha na Rayc wanakodi Yale magari mirango sita wanakula nayo bata,wakaenda funga ndoa fake Nigeria!!!!Au ww ulikuwa haujazaliwa?
 
Hajawahi kushinda mamilioni

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…