Yuko wapi aliyeimba wimbo wa Watoto Wasafi moyoni show?

Yuko wapi aliyeimba wimbo wa Watoto Wasafi moyoni show?

aliyeimba mbuga za wanyama nadhani anaitwa martina chambili, ni giza sio muhindi
nenda u tube andika hilo jina na jina la wimbo ni tanzania-e

Kweli mkuu! Asante sana. Eddy na Aunty Lulu watatujuza zaidi.
 
Atoke UK akufuate wewe na kijinsi chako kisa album? Kwa akili yako albam imewahi kumtoa nani bongo hii tangu imeZaliwa! Acha kumchuria binti wa watu wewe

Mkuu acha dharau! kama hujui unachoongea kaa kimya sio unatokwa povu tu. Pia acha kuni quote utumbo kama huo. sio kila unaye muona jamvini ana dhiki kama wewe kalagabaho
 
Last edited by a moderator:
Kuna siku nilimsikia Zomboko mchambuzi wa muziki radio one alisema huyo binti yupo kwao India alisha olewa na ana maisha yake.
 
Utashangaa kwamba aliyeimba rekodi "Watoto (1986)" ni binti wa kihindi anaitwa Nipa alikuwa na miaka 6 wakati huo.Varda Arts ni wasanii wa kihindi ambao waliishi mkoani na kuhamia Dar baadaye.Kazi yao kubwa ilikuwa ni kupiga picha na baadaye wakageuzia muziki.Walitoa rekodi kama "Tazama Tanzania (1986"),"Maridadi Sana (1984)" na "Mwl Nyerere (1984)".Walikuwa wasanii wa kwanza kwanza kutoa swahili movie iitwayo "Maridadi".Waliwahi kushirikishwa kwenye All Stars Orchestra iliyotengenezwa na BASATA wakati huo kuimba katika charity balls mbali mbali Tanzania aidha za CCM au Serikali wakisindikizwa na wanamuziki wengine wazalendo.Kwa hesabu za haraka haraka Nipa atakuwa mtu mzima sana sasa!

Aliyeimba "Tanzania eeh" song anaitwa Martina Chambiri na hii ilikuwa katika tamasha la kimataifa la watoto huko Italy maarufu kama Zecchino d'Oro.Watanzania wengi hawakufahamu nyimbo ile mpaka presenters maarufu wa Radio One (Master T na Mike Mhagama) wakati ule walipomleta studio na kuzungumza naye na toka hapo wimbo ukawa maarufu sana.Binti sasa yuko chuo kikuu na anafanya vizuri sana,ila bahati mbaya baba yake mzazi alifariki dunia akiwa bado sekondari.
 
Utashangaa kwamba aliyeimba rekodi "Watoto (1986)" ni binti wa kihindi anaitwa Nipa alikuwa na miaka 6 wakati huo.Varda Arts ni wasanii wa kihindi ambao waliishi mkoani na kuhamia Dar baadaye.Kazi yao kubwa ilikuwa ni kupiga picha na baadaye wakageuzia muziki.Walitoa rekodi kama "Tazama Tanzania (1986"),"Maridadi Sana (1984)" na "Mwl Nyerere (1984)".Walikuwa wasanii wa kwanza kwanza kutoa swahili movie iitwayo "Maridadi".Waliwahi kushirikishwa kwenye All Stars Orchestra iliyotengenezwa na BASATA wakati huo kuimba katika charity balls mbali mbali Tanzania aidha za CCM au Serikali wakisindikizwa na wanamuziki wengine wazalendo.Kwa hesabu za haraka haraka Nipa atakuwa mtu mzima sana sasa!

Aliyeimba "Tanzania eeh" song anaitwa Martina Chambiri na hii ilikuwa katika tamasha la kimataifa la watoto huko Italy maarufu kama Zecchino d'Oro.Watanzania wengi hawakufahamu nyimbo ile mpaka presenters maarufu wa Radio One (Master T na Mike Mhagama) wakati ule walipomleta studio na kuzungumza naye na toka hapo wimbo ukawa maarufu sana.Binti sasa yuko chuo kikuu na anafanya vizuri sana,ila bahati mbaya baba yake mzazi alifariki dunia akiwa bado sekondari.

Tisha sana broda! I salute you x100
 
nakumbuka enzi hizo jumamosi ikifika bila kwenda itv/redio one ilikuwa ni shida nyumbani.
Kuna siku tumetoka studio, nikatumia nauli yote ikabidi tutembee kwa miguu hadi home.
Utoto jamani, nikiahidiwa kwenda studio basi ntakuwa a good girl wiki nzima
 
nakumbuka enzi hizo jumamosi ikifika bila kwenda itv/redio one ilikuwa ni shida nyumbani.
Kuna siku tumetoka studio, nikatumia nauli yote ikabidi tutembee kwa miguu hadi home.
Utoto jamani, nikiahidiwa kwenda studio basi ntakuwa a good girl wiki nzima

Kichuna,Amina Chifupa alianza hivyo hivyo,mwisho "akafundishwa" utangazaji na akina Mike Mhagama na Deo Mshigeni,baadaye akaupata ubunge.Mungu amrehemu alikuwa mbunge matata sana na shukrani ziwaendee waliomfanya awe maarufu.Kutembea kwako kwa miguu basi wewe ulikuwa unakaa Mlimani,Mwenge,Kijitoonyama au Sinza maana ni sehemu hizo tu ni karibu na Mikocheni,lol.
 
Kichuna,Amina Chifupa alianza hivyo hivyo,mwisho "akafundishwa" utangazaji na akina Mike Mhagama na Deo Mshigeni,baadaye akaupata ubunge.Mungu amrehemu alikuwa mbunge matata sana na shukrani ziwaendee waliomfanya awe maarufu.Kutembea kwako kwa miguu basi wewe ulikuwa unakaa Mlimani,Mwenge,Kijitoonyama au Sinza maana ni sehemu hizo tu ni karibu na Mikocheni,lol.

amiin.
Nilikuwa nakaa kijitonyama.
Nimekumbuka mbali, kweli utoto kazi.
 
Back
Top Bottom