mankizzo
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 247
- 116
hapana mkuu huyo melody mbasa sio ila na yeye alikua ana imba hizo nyimbo za watoto mwanzoni mwa miaka ya 2003 had 2005 kamasijakosea kasoma bunju yule binti ana kasauti kama ka bara la AsiaMkuu yupo ni mkubwa sasa anaitwa Melody Mbasa anawimbo mzuri sana unaitwa Nikoleze, anaimba huyo Bella anakaa pembeni.