Yuko wapi aliyeimba wimbo wa Watoto Wasafi moyoni show?

Mkuu yupo ni mkubwa sasa anaitwa Melody Mbasa anawimbo mzuri sana unaitwa Nikoleze, anaimba huyo Bella anakaa pembeni.
hapana mkuu huyo melody mbasa sio ila na yeye alikua ana imba hizo nyimbo za watoto mwanzoni mwa miaka ya 2003 had 2005 kamasijakosea kasoma bunju yule binti ana kasauti kama ka bara la Asia
 
hapana mkuu huyo melody mbasa sio ila na yeye alikua ana imba hizo nyimbo za watoto mwanzoni mwa miaka ya 2003 had 2005 kamasijakosea kasoma bunju yule binti ana kasauti kama ka bara la Asia
sawa mkuu uko sahihi maana nilisikia mahojiano ya huyo Mbasa na Zomboko redio one,ahsante.
 
Semboko,Hivi Mike Mhagama sio ndio Marehemu Deo Filikunjombe?
Hapana ni watu wawili tofauti ila ninavyojua walikuwa washikaji wa karibu sana na Deo alipokuwa akisoma Makerere akirudi Bongo alikuwa anafikia kwa huyo jamaa mbagala.Na sidhani kama hata ni ndugu ni washikjai tu.
 
ila ITV ya sasa ime-change sana hivi mbona hawazirushi hizi video kwenye tv yao
 
ni mtoto wa kihindi, mara ya mwisho marehemu julius nyaisanga akiwa radio one, alisema aliwasiliana na wazazi wa mtoto huyo na walimwambia yuko uingereza kwa elimu ya juu.
Sio mtoto jamani..mtu alikuwa na miaka 6 mwaka 1986 halaf bado n mtoto?..kwelii?
 
 
Kuna yule binti aliyeimba "chei chei shangazi, chei chei shangazi, shangazi shangazi chei shangazi. Tufurahi shangazi, tufurahi shangazi, shangazi, shangazi....". Naye akiitwa nani?.
 
Kuna yule binti aliyeimba "chei chei shangazi, chei chei shangazi, shangazi shangazi chei shangazi. Tufurahi shangazi, tufurahi shangazi, shangazi, shangazi....". Naye akiitwa nani?.
Dah,kitambo sana hiyo
Hicho kipindi nilikuwa nakikosa kutokana na muda wa kipindi kuangukia muda wa kwenda shambani kulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…